miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
No huwa situmii wa uko kwenu
sawa mkuu but all in alll dont trust any body just focus and know what u need!! that all.......
No huwa situmii wa uko kwenu
may be he will take for granted... but serious mapenzi na kazi si sawa.... the guy he need to focus, imagine aache kufanya biashara na jamaa aje kugundua demu alikuwa anamchuza atajuta maisha yake yote...
Kanionesha text anazomtumia one day anapiga simu kamuweka loudspeaker na kachukua hatua ya kunambia baada ya kuona kila akimwambia huyo rafiki yangu hataki na aache hiyo tabia hasikii
sasa ina maana swaiba wangu hajawaona hao mademu wengine mpaka mpenzi wa mimi rafiki yake ???
Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au ulishakutwa kadinywa????.....ishi na mwanamke kwa akili na usipoangalia waweza kugombana na kila mtu mpaka wazaz wako!!!!
Ndo maana yake hata mfuko wako wa shati hautajua......chezea nini????!!!
Sio kila jambo lakusema mengine yaishie tumbon ndo uanamke unavyotakiwa....utakuja kugombanisha watu bureeeee
Na wasiwasi na akili zako
Asante sana kwa ushauri mzuri mdau mungu akubariki
Kwani wewe nani alikutoa bikra??
Kuna marafik mi nawaogopa nilishawakatalia kukanyaga nyumbani, tukutane baa tuu..
Yamekugusa eeh?Nahisi una matatizo ya ubongo
Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au ulishakutwa kadinywa????.....ishi na mwanamke kwa akili na usipoangalia waweza kugombana na kila mtu mpaka wazaz wako!!!!