Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Halloo,
Nina rafiki yangu mpenzi jana kanilalamikia kuwa anahisi kuna mtu ana mahusiano ya kimapenzi na mkewe, ila ameshindwa kumkamata kwa sababu saa zote mkewe anafuta message zote kwenye inbox na sent items lakini msg counter inaonyesha kwamba kuna msg nyingi tu zimetumwa.
Naombeni basi kama kuna mtu anajua jinsi au mahali anapoweza kuretrieve hizo message. Simu anayotumia ni ya kichina na line ni ya TIGO.
Please help cause this is serious na jamaa yupo kwenye hali mbaya.
Thanx.
Mheshimiwa hapo itabidi uonane na "Mlinzi Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania". Sheikh Yahaya Hussein