venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,743
- 3,994
Tena ataitumia km fimbo pale watakapokosana,kwa sasa ataona ni rahisi kwa kua ndoa inahamu yakeMkuu hiyo mistari miwili ya mwisho nimhimu sana kwa uamzi atakaochukuwa.
Tena ataitumia km fimbo pale watakapokosana,kwa sasa ataona ni rahisi kwa kua ndoa inahamu yakeMkuu hiyo mistari miwili ya mwisho nimhimu sana kwa uamzi atakaochukuwa.
Jamaa lako lina moyo sana. Halijui mahawara huwa hawaachani???Tena mpaka leo anasema namshukuru sana mr. X kwan bila yeye nisingepata wife material I was looking for
Naomba kujua kwanza,Pale alijua kabisa hakuna ushemeji coz ninaedate nae ameoaa... kwann asijivutie mzigo Na yeye akaoaa???
Aysee we balaa kwa michepuko..unauchepuka mpka mchekupoHabari zenu humu ndani,
Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.
Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.
Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.
MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
!!!Uzee mjini sio Dili watu wanataka nyonga mbichiiina uzee waja kasi shoga weee.. na mzee akikuona umekuwa mzee mwenzie anakuweka kando anavuta kabinti kabichi kingine wakati huo kakuacha vyema sana kakuachia kamtoto na kanyumba nadni ya miaka kumi hakina hadhi tena ..

Bahati haiji mara 2 olewaI will prove u wrong... kama ni kichwa cha chini nimekaa kwake siku mbili na nilikua nalala Na night dress hata kunigusa walaa alisema hana haraka so hapo nakupinga mkuu.. angesha nivua ilesiku
Ukishaonja nyama ya binadamu hauchi,wewe ni mtu husio na aibuSo long nitakua ndani ya ndoa so haina aja ya kukubali mashemeji. Just ntakua ni mtu mwingime mwenye mitazamo mingineee
Angekuwa anakupenda angekuwa amekuoa, tupa kule hilo baba lisilothamini ndoa yakeHabari zenu humu ndani,
Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.
Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.
Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.
MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
una uhakika gani kama anataka kukuoa?Tena mpaka leo anasema namshukuru sana mr. X kwan bila yeye nisingepata wife material I was looking for
Habari zenu humu ndani,
Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.
Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.
Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.
MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
Thanx alot mkuu...nimekupata vilivyo.Exceptional lady
Hongera kwa kujitoa kimasomaso kuelezea yako ya moyoni. Nikizingatia saikolojia na uzoefu wa mahusiano jibu kwako ni dogo sana: HAKUNA MWALIMU wala FUNDI wa Mapenzi. Mpaka unapouliza hapa ni wazi upo njia panda. Mtu sahihi wa kukupa jibu stahili ni wewe mwenyewe. Hatua uliyofikia ni lazima utajiumiza mwenyewe, utamuumiza mbaba ama utamuumiza huyo kaka. Hivyo chagua mwenyewe nani apate maumivu ili mambo yako yaende. Maana mara zote unapojipata unalazimika kuchagua kununua ama "Masidisi Benzi" ama "BMW" mwisho wa siku utafikia hitimisho la ama kujipongeza, ama kujilaumu. Hivyo basi kwa kuzingatia mazingira ya mpito uliyomo, vema sasa uchague hali mpya itakayokupa mazingira ya kudumu (yanayotarajiwa).
Ukiachilia njia mbali mbali zinazopendekezwa utumie ili kufikisha ujumbe kwa mbaba kwa mfano kumwambia aongee na mkewe kwamba yeye mzee anataka kuoa mke wa pili, halafu mkewe akimkatali basi nawe umwambie unasonga mbele kusaka ndoa. Hii njia yaonekana ni muafaka. Lakini sio njia sahihi maana imeficha utapeli. Na mwisho wa siku maamuzi ya wewe kuolewa hayatokuwa maamuzi yako binafsi, bali maamuzi ya mke wa mbaba ama mbaba mwenyewe. Nisisitize tu kwamba nia ya kuolewa ni nia yako mwenyewe. Ni wewe mwenyewe unawajibika kujipambanua na kuamua kuolewa.
Hizi abracadabra za eti huyo mkaka atakuacha kwa vile amekutoa kwa mzee, na eti ndoa yako na huyo kaka itakuwa hewani hivyo uolewe na mtu asiyemjua Mr X, hizi nazo hazina ukweli wowote. Maana nahodha wa ndoa yako ni wewe na huyo kaka. Mnao uwezo wa kuijenga ama kuibomoa ndoa yenu. Uzuri kanuni na masharti ya ndoa ni universal, muhimu ni namna wewe Exceptional Lady na mume wako mtarajiwa mtaishi hizo kanuni universal za ndoa. Kwa mfano, zipo ndoa nyingi zilizovunjika ambazo bibi harusi hakuwa mchepuko wa Mr X ambaye alimtambulisha kwa mfanyakazi mwenzake.
Jambo la kuzingatia ni kwamba uamuzi wa kuolewa ama kuoa shurti uwe ni dhamira ya bibi na bwana harusi bila kuwa 'influenced" na third part i.e. wazazi, walezi, mchepuko wa zamani, fedha, mali etc. Nikimaanisha dhamira ya kufunga ndoa iwe ni dhamira iliyokusudia kuishi na mwenza wako kwa tabu na raha, uzima na magonjwa etc.
Nitumie fursa hii kukutakia kila la heri bi Exceptional Lady.
I will prove u wrong... kama ni kichwa cha chini nimekaa kwake siku mbili na nilikua nalala Na night dress hata kunigusa walaa alisema hana haraka so hapo nakupinga mkuu.. angesha nivua ilesiku
kila mwanaume anataka hivonviseversa...smetimes inahitajoi ujaribu hapa ii umpate..maana ukijifungia ndani hutampata...hivoavumilie taratibu atampata one day...hiyo haizuii asiwe ana dateOkeee ila anahitaji mwanamke mwenye forcus Na upeo wa kuwaza Na atkaekua msaada kwake
Ni kweli kwa mwanaume wa kiislamu ni ngumu kujua kama ni uzinzi au anachumbia. kwani mara zote mume wa kiislamu anapofanya uzinzi atakwambia unajuaje kama nachumbia?{Kama wewe ni muumini mzuri wa dini}
Kabla hujafunga ndoa na huyo kijana nenda katubu dhambi ya uzinzi na mume wa mtu na kupima afya yako .
Then Kaa uongee nae huyo mume wa mtu ana malengo gani na wewe {kama si muislam}, na nini hatma yako katika mahusiano, kisha muweke wazi kuwa unahitaji ndoa halali ili maisha yako yaende salama.