mti wa ajabu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 449
- 368
Kwan mtu huwezi kumshauri hd kutukan jamani,hivi sisi viumbe wa magufuri tukoje?Akili yako kama mavi, mshenzi Mkubwa wewe babae unakuja kulalamika umekosa wa kukuoakukuoa
Kwan mtu huwezi kumshauri hd kutukan jamani,hivi sisi viumbe wa magufuri tukoje?Akili yako kama mavi, mshenzi Mkubwa wewe babae unakuja kulalamika umekosa wa kukuoakukuoa
Soma vizuri uelewe nilichoandika, punguza pupa.wajuaje kama nachumbia ati?
Ni kweli kwa mwanaume wa kiislamu ni ngumu kujua kama ni uzinzi au anachumbia. kwani mara zote wanapofanya uzinzi watakwambia
Yaan ananitaka Na hataki kunipoteza Na mwezi ujao alikua anataka anipangie nyumba Na kunifungulia biashara yaani mmh
Mkuu ukileta hiyo anaipotezea wakati yeye mwenyewe aliishasema huyo jamaa hajui mambo Leo hii anatudanganya hajawahi kuonjwa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu haswa hapa JF.Je, ni huyu apa??? Nataka kukusaidia kitu.
Huna jipya..marudio hayo kwanguAkili yako kama mavi, mshenzi Mkubwa wewe babae unakuja kulalamika umekosa wa kukuoakukuoa
Kabisa mkuu... Sasa porojo zote za nini, kuteka attention za watu kwa fix..Mkuu ukileta hiyo anaipotezea wakati yeye mwenyewe aliishasema huyo jamaa hajui mambo Leo hii anatudanganya hajawahi kuonjwa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu haswa hapa JF.
Jamani ile uzi haina mana yenikuta kwake, ni mambo amabayo yapo katika jamii inayotunguka jamaniii sio kila thread ni mtu yamemkuta Ila tuu unaangalia Na jamii yenye inatuzungukaKabisa mkuu... Sasa porojo zote za nini, kuteka attention za watu kwa fix..
Anachekesha kwan alichokiandika tofauti na nachohitaji.. sijaja kulalamika kuolewa hapa. Mkuu kama una mastress yako poleeeKwan mtu huwezi kumshauri hd kutukan jamani,hivi sisi viumbe wa magufuri tukoje?
Sana tuHivi una akili?
mchepuko ulipo acha kunipiga mizinga kisha akanirudishia suruali niliyoiacha ghetto kwake sikumuuliza zaidi kwani nilimuelewa kiutu uzima.Habari zenu humu ndani,
Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.
Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.
Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.
MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
Swali zuri sana mkuuKwani unataka kuwa mchepuko milele?
Mmhh!! ngoja tuoneKuna maswali ya kujiuliza..
1. Ndoto zako ni zipi kuolewa au kuendelea kuwa mchepuko?
2. Shida yako ni kuhudumiwa au kuishi na mwanaume mtakaosaidiana kihisia, kimali..n.k.??
Ukipata majibu kwa kuangalia kila upande wa hao wanaume utajua cha kufanya
hiyo achana nayoKWA STYLE HII KWELI ASILIMIA 90 WANAUME TUNALEA WATOTO AMBAO SIYO WETU KABISAA
KWA STYLE HII KWELI ASILIMIA 90 WANAUME TUNALEA WATOTO AMBAO SIYO WETU KABISAA
ha ha ha uzee mwisho chalinzeUzee mjini sio Dili watu wanataka nyonga mbichiii![]()
![]()
![]()
![]()
hata mimi nakupenda aiseeeUshauri wako unanifanya nikupende zaidi Miss chagga.
lazima ajiandae kisaikolojiaKama kweli anataka kufungandoa na ww kheri.
Lakini swali ni je hyo ndoa itakua na amani sikuzote hasa pale mtakapokosana mana anajua ulikua na nani so hautakua na jipya kwake