Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Yaan ananitaka Na hataki kunipoteza Na mwezi ujao alikua anataka anipangie nyumba Na kunifungulia biashara yaani mmh

Ningekua mi ni mwanamke kwa kweli nikipata mtu wa kunijali kiasi hicho nisingepoteza mda wangu kuolewa afu baadae nije kujuta kuolewa

Ila kwa mazingira aliyokupata huyo mwanamme usiwekee mazingira ya moja kwa moja nia yake ya kukuoa, kuishi na mtu ambae anajua background yako wakati mwingine inaumiza kwa baadhi yao, unaweza kua una kila sifa ya kua mke lakini akikumbuka alikokutoa anaumia kimoyomoyo.
 
Je, ni huyu apa??? Nataka kukusaidia kitu.
Mkuu ukileta hiyo anaipotezea wakati yeye mwenyewe aliishasema huyo jamaa hajui mambo Leo hii anatudanganya hajawahi kuonjwa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu haswa hapa JF.
 
Huyo jamaa Nahisi katumwa na babu akuchunguze, utakosa mwana na maji ya moto
 
Mkuu ukileta hiyo anaipotezea wakati yeye mwenyewe aliishasema huyo jamaa hajui mambo Leo hii anatudanganya hajawahi kuonjwa. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu haswa hapa JF.
Kabisa mkuu... Sasa porojo zote za nini, kuteka attention za watu kwa fix..
 
Kabisa mkuu... Sasa porojo zote za nini, kuteka attention za watu kwa fix..
Jamani ile uzi haina mana yenikuta kwake, ni mambo amabayo yapo katika jamii inayotunguka jamaniii sio kila thread ni mtu yamemkuta Ila tuu unaangalia Na jamii yenye inatuzunguka
 
Habari zenu humu ndani,

Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.

Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.

Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.

MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.

Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.

Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.

Karibuni kwa msaada
mchepuko ulipo acha kunipiga mizinga kisha akanirudishia suruali niliyoiacha ghetto kwake sikumuuliza zaidi kwani nilimuelewa kiutu uzima.
 
Kuna maswali ya kujiuliza..
1. Ndoto zako ni zipi kuolewa au kuendelea kuwa mchepuko?
2. Shida yako ni kuhudumiwa au kuishi na mwanaume mtakaosaidiana kihisia, kimali..n.k.??

Ukipata majibu kwa kuangalia kila upande wa hao wanaume utajua cha kufanya
Mmhh!! ngoja tuone
 
Back
Top Bottom