Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Wakati mwingine nikiona mwanamke yupo kwe foleni na usafiri wake wa maana wakati mi nipo kwe kajamba nani huwa najifariji kwa kujisemea kimoyomoyo "mimi ni mwanaume, ile gari hajapata kwa mshahara tu".
 
Jamani ile uzi haina mana yenikuta kwake, ni mambo amabayo yapo katika jamii inayotunguka jamaniii sio kila thread ni mtu yamemkuta Ila tuu unaangalia Na jamii yenye inatuzunguka
Bas unapoleta uzi wa kufikirika usiuvae uhusika directly... Ulete kama mtizamo au hoja binafsi, ili usitukanganye wasomaji na wachangiaji.
La kuongeza kwenye suala lako, nakusihi usiharakishe hilo suala. Kuharakisha itakulazimu kuamua vitu vitakavyokuja kukugharimu baadae... Kama misukosuko na ndoa yako tarajiwa as umeshamuamin mno huyo friend wa mzee wako! Kaa chini ujipime kwanza mzee akipata hyo taarifa atakuchukuliaje??? Na je, huyo kijana s atakuchukulia mtu wa chini sana as amekuokota kwa mzee...!!! Be care usijiona umepata kumbe umepatikana.
Kuna wadau humu wamekushauri hiyo ni golden chance iwahi, mara wanaume wa kulenga kwa manati siku hzii n.k.. But busara na tathimini nzuri ndo vitakavyokuokoa, la sivyo utajajutia maamuzi yako hayo... Finala decission kama umechoka kuwa na mzee jiweke pemben kwa maisha mapya.. Na imani utapata fungu lako.. Jiepushe na hiyo COBWEB.
 
Huyo akuoi anatafuta kunjunju maana uhusiano wa watu wasikuwa na malengo huwa haufi anajua waz hata akikuoa bado utachepuka tu. Uhusiano ulionao kufa Ni ngumu maana mtapeana kipindi cha neema pale umepata mtu wakukuoa ili usiharibu uchumba mnatulia ukishaingia kwenye ndoa umepata mtoto wakwanza mnarudia maana nyie mlianza uhusiano kwa ajili ya starehe
 
Wanaume tuna akili nyingi sanaa...dada yangu kuna mwenzako huku mwanaume katangaza ndoa mwanamke kampeleka mpaka kwao jamaa kalipa mahari nusu kumbe shida ya jamaa ilikuwa kumuharibia mshkaji wake matokeo yake baada ya kula mzigo tu kamtosa dada wa watu.
,Yaani tuna dhambi sanaaa
 
Tena mpaka leo anasema namshukuru sana mr. X kwan bila yeye nisingepata wife material I was looking for
Maneno matamu ya kutongozea hayana ukweli kwenye maisha halisi.
Kuolewa ni jambo la kheri, lakini tujadili aina ya huyo mchumba kwanza.
Mzaha mzaha na ulegevu katika kutafuta mwenza wa maisha,wengi huwagharimu sana,tena sana wanapoanza kuyaishi maisha halisi.
Utakapoolewa na huyo rafiki wa mchepuko wako, nikuulize. Je watakuwa wamevunja urafiki wao kwanza? Ama je kama hawajavunja urafiki wao, baada ya kuolewa nae kwa macho makavu kabisa, huyo mchepuko wako,utabadili gia angani na kumuita shemeji? Utakapokutana nae mkawa wawili utamuita shemeji ivyoivyo?
Marafiki ni sawa na ndugu. Tusikupotoshe, mwanamke yeyote ni mrembo mbele ya macho ya mwanamme na wewe mwenyewe ni shahidi wa maneno haya. Chagua mchumba mwenye haiba na staha isiyokuwa na mawaa,ili baadae usije kujutia maamuzi yako.
Tena huyo (shemeji)rafikiye mchepuko wako, hana adabu "kahuni".
Tabia yake ya kutoheshimu mahusiano ya watu wengine yatakuja kukurudi na wewe. Yawezekana siku moja akaja "kumla" hata ndugu yako kwa visingizio vya kitotototo! Huu uzi ulioleta,unafanana na yaliyompata rafiki yangu,miaka imepita.
Alipata mchepuko akaubeba ad "gesti" alikoacha marafikizake. Walipofika wakamshawishi huyo mchepuko kuwa wote wanamtaka, si kwa kulazimisha bali kwa maelewano,kwa hiyari yao na kwa hiyari yake wote wakakubaliana "wakamla" kwa zamu.
Hakuna kesi ya ubakaji'apo ila likaja tatizo. Katika "fujo"hiyo rafiki yangu akanogewa akaamua asogeze kabisa, namaanisha kuoa!
Kimbembe kikaja walipoanza maisha halisi.
Wale jamaa zake wakawa wakifika pale kwake wakimkuta huyo "shemeji" yao wanamsalimia shemeji yao kwa kebehi huku wakicheka. Hakuishi kwa amani ajili ya kumbukumbu ya dhambi yao ya "asili". Walizaa watoto adkufikisha wawili,lkn baadae walikuja kuachana kwa sababu ya kutokuwa na amani ktk ndoa yao.
Mifano ni mingi,huo ni mmoja,lakini kiuhalisia hapo ndoa haipo,labda ungesema huyo shemeji mchepuko amekuvutia unataka kupiganae uhuni.
 
Ushauri, kama kweli kakupenda. Mwambie condition moja. Aweke mutual agreement na huyo mchepuko wako (ambaye ni rafiki yake). Akisort out hilo, you are free duniani na mbinguni.

NOTE:
Wanaume baadhi huwa sometimes tuna guts za ku-let it go tunaachiana kikubwa katika mazingira kama hayo. Kama huyo mchepuko wako unakupenda, utakuachia uende salama. Though ni ngumu somehow kwa baadhi.
 
Ushauri, kama kweli kakupenda. Mwambie condition moja. Aweke mutual agreement na huyo mchepuko wako (ambaye ni rafiki yake). Akisort out hilo, you are free duniani na mbinguni.

NOTE:
Wanaume baadhi huwa sometimes tuna guts za ku-let it go tunaachiana kikubwa katika mazingira kama hayo. Kama huyo mchepuko wako unakupenda, utakuachia uende salama. Though ni ngumu somehow kwa baadhi.
OK.asante mkee ntaongea nae nione atalizungumziaje hilo swala
 
Maneno matamu ya kutongozea hayana ukweli kwenye maisha halisi.
Kuolewa ni jambo la kheri, lakini tujadili aina ya huyo mchumba kwanza.
Mzaha mzaha na ulegevu katika kutafuta mwenza wa maisha,wengi huwagharimu sana,tena sana wanapoanza kuyaishi maisha halisi.
Utakapoolewa na huyo rafiki wa mchepuko wako, nikuulize. Je watakuwa wamevunja urafiki wao kwanza? Ama je kama hawajavunja urafiki wao, baada ya kuolewa nae kwa macho makavu kabisa, huyo mchepuko wako,utabadili gia angani na kumuita shemeji? Utakapokutana nae mkawa wawili utamuita shemeji ivyoivyo?
Marafiki ni sawa na ndugu. Tusikupotoshe, mwanamke yeyote ni mrembo mbele ya macho ya mwanamme na wewe mwenyewe ni shahidi wa maneno haya. Chagua mchumba mwenye haiba na staha isiyokuwa na mawaa,ili baadae usije kujutia maamuzi yako.
Tena huyo (shemeji)rafikiye mchepuko wako, hana adabu "kahuni".
Tabia yake ya kutoheshimu mahusiano ya watu wengine yatakuja kukurudi na wewe. Yawezekana siku moja akaja "kumla" hata ndugu yako kwa visingizio vya kitotototo! Huu uzi ulioleta,unafanana na yaliyompata rafiki yangu,miaka imepita.
Alipata mchepuko akaubeba ad "gesti" alikoacha marafikizake. Walipofika wakamshawishi huyo mchepuko kuwa wote wanamtaka, si kwa kulazimisha bali kwa maelewano,kwa hiyari yao na kwa hiyari yake wote wakakubaliana "wakamla" kwa zamu.
Hakuna kesi ya ubakaji'apo ila likaja tatizo. Katika "fujo"hiyo rafiki yangu akanogewa akaamua asogeze kabisa, namaanisha kuoa!
Kimbembe kikaja walipoanza maisha halisi.
Wale jamaa zake wakawa wakifika pale kwake wakimkuta huyo "shemeji" yao wanamsalimia shemeji yao kwa kebehi huku wakicheka. Hakuishi kwa amani ajili ya kumbukumbu ya dhambi yao ya "asili". Walizaa watoto adkufikisha wawili,lkn baadae walikuja kuachana kwa sababu ya kutokuwa na amani ktk ndoa yao.
Mifano ni mingi,huo ni mmoja,lakini kiuhalisia hapo ndoa haipo,labda ungesema huyo shemeji mchepuko amekuvutia unataka kupiganae uhuni.
Ulichokizungumza Nina ukweli ndani yake. Yaliyo mpata rafiki ako kwa mkewe kuchekwa kwa kebeh labda inaonesha kabisa watu wenyewe hawajiheshim,(hao vijana ).labda niseme hivi,huu mchepuko wangu ni mtu Na busara zake, kunidharau sio rahisi Ila sijui atachukuliaje hilo swala maana hata jana Na juzi ananitumia sms za "usiniache,kukupenda kwangu isiwe tabu uKajaniumiza, oh ur by happiness , yaani sijui Na hata sielew itakuaje. "yaan kama moyo wake una wasi wasi coz najaribu kumua void so kama anastuka.
 
Habari zenu humu ndani,

Mimi mwenzenu ninatoka na mume wa mtu ndo mbaba wangu na ananiweka mjini mwaka sasa, kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehemu ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa.

Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikuwa wakifanya kazi pamoja, ila baadae wakatenganishwa. Kijana mmoja akaonyesha kama kanizimia mana alivyokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji yake.

Sasa tukakutana ghafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukweli nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana na nampenda na tumepanga mikakati mingi na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani Mungu akipenda tuoane.

MTIHANI UNAKUJA HAPA. Mchepuko ananipenda mpaka basi na hii ni kutokana tunaheshimiana na naiheshimu familia yake. Je naanzaje kumwambia huyu mtu? Na mi najua hatoweza kunioa kwa mara ya pili, na mi kijana tumeelewana vyema.

Ebu wenye upeo wanipe mawazo na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.

Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu za matusi, muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea na mke au mume wa mtu huwezi kushauri pita tu kwa ustaarabu.

Karibuni kwa msaada
Kuolewa sio Tatizo ila kabla hujaharibu kwa anaekuweka mjini make sure huyo jamaa yuko serious,sio akutoe huko halafu halafu ukose kote kote,akupeleke karibu ya ndoa ndio unaaaga kwa mfadhili,kua unamshukuru kwakukusaidia kwenye kipindi chote cha dhiki na furaha,ila since hakuna future baina yenu bora na wewe upate mwenzio ili uwe na familia yako
na mume halali kama wenzio,ila daima utamkumbuka na iwapo kama kuna msaada wowote wa mawazo au mchango
asisite kukueleza ila daima atakua moyoni mwako simple. ataelewa....fanya haya bado week kwa harusi sio umevalishwa pete unaenda kuaga utaishia na pete kidoleni maisha..na bila kusahau huku unakokwenda kichambo kikiwepo utasikia kama yule ulimkimbia mie utanikikisha wapi usijali itachukua mda kwa huyu mr kukuonyesha fafiki zake lakini uki prove kua wewe kweli umetulia atakuonyesha ila usitie AIBUA japo hainaaga ushemeji..
 
Kuolewa sio Tatizo ila kabla hujaharibu kwa anaekuweka mjini make sure huyo jamaa yuko serious,sio akutoe huko halafu halafu ukose kote kote,akupeleke karibu ya ndoa ndio unaaaga kwa mfadhili,kua unamshukuru kwakukusaidia kwenye kipindi chote cha dhiki na furaha,ila since hakuna future baina yenu bora na wewe upate mwenzio ili uwe na familia yako
na mume halali kama wenzio,ila daima utamkumbuka na iwapo kama kuna msaada wowote wa mawazo au mchango
asisite kukueleza ila daima atakua moyoni mwako simple. ataelewa....fanya haya bado week kwa harusi sio umevalishwa pete unaenda kuaga utaishia na pete kidoleni maisha..na bila kusahau huku unakokwenda kichambo kikiwepo utasikia kama yule ulimkimbia mie utanikikisha wapi usijali itachukua mda kwa huyu mr kukuonyesha fafiki zake lakini uki prove kua wewe kweli umetulia atakuonyesha ila usitie AIBUA japo hainaaga ushemeji..
Asante mkuu
 
Madaam, huyo kijana anakutamani, katika mazingira mliokutana mkioana heshima hakuna coz kila mara background yako itakua inamrudia rudia, mfano ukitoka atafikiria umeenda kuchepuka coz alikutoa kwenye mchepuko! Ww ukiamua kuolewa kaolewe na mtu asiejua kuchepuka kwako.
 
Back
Top Bottom