Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Rafiki wa mchepuko wangu anataka kunioa

Habari zenu humu ndani... mi mwenzenu ninatoka Na mme wa mtu ndo mbaba WANGU Na ananiweka mjini mwaka sasa.. kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehem ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa. Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikua wakifanya kazi pamoja ila baadae wakatenganishwa.
Kijana mmoja akaonesha kama kanizimia mana alivokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji ake .
Sasa tukakutana gafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukwel nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana Na nampenda Na tumepanga mikakati mingi Na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani mungu akipenda tuoane.. MTIHANI UNAKUJA HAPA. mchepuko ananipenda mpaka basi Na hii ni kutokana tunaheshimiana Na naiheshimu familia yake.Je naanzaje kumwambia huyu mtu??? Na mi najua hatoweza nioa kwa mara ya pili,Na mi kijana tumeelewana vema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo Na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu Za matusi... muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea Na mke au mme wa mtu.. huwezi kushauri pita tuu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
Wewe olewa tu na huyo kijana, mimi mbabu sitaona so, ndiyo nitapata muda wa kiimarisha familia yangu. Sitafanya kama yule aliyeruka kutoka juu ya Gorofa jana pale makutano ya Bibi Titi na Morogoro road. si ungeniambia tu? kwa nini umekuja huku?
 
With all due respect, huyo kijana sio muoaji bali ni muonjaji tu.
Anajua unatoka na mfanyakazi mwenzake na yeye anatangaza kukupenda tena anataka mpaka uwe mke?!
Fanya maamuzi taratibu kabla ya kumpa babu mkono wa kwaheri.
Kuna watu hutumika kama daraja la mafanikio usimkatishe mwenzio tamaa wengi tumeolewa tukiwa hatuna bikra means tulikua tunatoka na watu wengine wanajulikana lakini mwanaume mwenye malengo ya dhati na wewe hata akukute kwenye dangulo acha hiyo ya kukutoa kwenye penzi la mchepuko atakuoa tu labda kama na yeye uyo bwana awe m babaishaji
 
Habari zenu humu ndani... mi mwenzenu ninatoka Na mme wa mtu ndo mbaba WANGU Na ananiweka mjini mwaka sasa.. kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehem ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa. Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikua wakifanya kazi pamoja ila baadae wakatenganishwa.
Kijana mmoja akaonesha kama kanizimia mana alivokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji ake .
Sasa tukakutana gafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukwel nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana Na nampenda Na tumepanga mikakati mingi Na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani mungu akipenda tuoane.. MTIHANI UNAKUJA HAPA. mchepuko ananipenda mpaka basi Na hii ni kutokana tunaheshimiana Na naiheshimu familia yake.Je naanzaje kumwambia huyu mtu??? Na mi najua hatoweza nioa kwa mara ya pili,Na mi kijana tumeelewana vema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo Na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu Za matusi... muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea Na mke au mme wa mtu.. huwezi kushauri pita tuu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
MBONA UNAJIHAMI KUHUSU COMMENTS..HAHAH WEPOKEA ZOTE TENA NAMI NILIJIPANGA NA BONGE LA JIBU ILA BASI NIMEPOA TU
 
{Kama wewe ni muumini mzuri wa dini}

Kabla hujafunga ndoa na huyo kijana nenda katubu dhambi ya uzinzi na mume wa mtu na kupima afya yako .

Then Kaa uongee nae huyo mume wa mtu ana malengo gani na wewe {kama si muislam}, na nini hatma yako katika mahusiano, kisha muweke wazi kuwa unahitaji ndoa halali ili maisha yako yaende salama.
Ushauri hu mzuri..
exceptional lady Kwanza "AsstaghafirruLLah" sana ili utubie yaliyopita (toba inakubalika anytime) pili, sitisha upuuzi huo kwa uwazi mawasilianao na Old Boss, ili ufocus ktk maisha yako na mustakabli wa kifamily !! Laa sivyo utatumika kama chombo cha umma !! Dunia inaenda haraka utachokwa bure !!
Good luck
 
Hua namuulizaga maswali fulani., Na majibu anayonipa ni kwamba ameona mimi nitamfaa,Na kwann niendelee kukaa Na Mr X wakati hatutatimiza agano la mungu??? Na huwezi amini sijawahi muonjesha hata siku moja.Na nilikaa nae takriban siku 2 tulikua tukipanga mipango yetu Na hakua Na tamaa Na mimi mpka naondoka Na akanisindikiza wala chupi hajaigusa Na nauli ya kutosha kanipa.. Na alikua Na amani tuu alidai hana haraka.
Then if that the case you have met an exceptional gentleman, proceed.
 
Kuna watu hutumika kama daraja la mafanikio usimkatishe mwenzio tamaa wengi tumeolewa tukiwa hatuna bikra means tulikua tunatoka na watu wengine wanajulikana lakini mwanaume mwenye malengo ya dhati ma wewe hata akukute kwenye dangulo acha hiyo ya kukutoa kwenye penzi la mchepuko atakuoa tu labda kama na yeye uyo bwana awe m babaishaji
Well, sikuwa namkatisha tamaa nilikuwa nampa hints tu. Kwenye maisha lolote linaweza kutokea na watu hawafanani LadyAJ.
 
katika maisha kuna aina mbali mbali za binaadamu ambao Mungu hukukutanisha nao ili kukukamilishia kukomaa ki akili. kuwa makini na huyo mpenzi mpya maana wanaume huwa tunatabia ya kutamani vitu vilivyoundwa na wenzetu. kama huo mchepuko wako ni muislamu mwambie akuoe....usimpe nyapu huyo mpenzi mpya maana anaweza akawa ametumwa na huo mchepuko wako. jirizishe kwa umakini kabla hujafanya maamuzi magumu. NAKUOMBEA KWA MUNGU AKUPITISHE SALAMA KATIKA HILO JARIBU... maana kwa mbali naona kuna kukosa vyote ama kumpata mume.
 
Habari zenu humu ndani... mi mwenzenu ninatoka Na mme wa mtu ndo mbaba WANGU Na ananiweka mjini mwaka sasa.. kuna kipindi cha nyuma tulienda zetu huko sehem ya mbali kidogo kubadilisha hali ya hewa. Sasa akanitambulisha kwa rafiki zake ambao walikua wakifanya kazi pamoja ila baadae wakatenganishwa.
Kijana mmoja akaonesha kama kanizimia mana alivokuja akanisalimia akanishika mkono kama shemeji ake .
Sasa tukakutana gafla siku nyingine tukapeana namba. Sasa kijana akanipenda tangu ile siku kiukwel nilipomuona pia nilijikuta navutiwa nae. Basi tumewasiliana Na nampenda Na tumepanga mikakati mingi Na soon tunataka tukatambulishane ili mwakani mungu akipenda tuoane.. MTIHANI UNAKUJA HAPA. mchepuko ananipenda mpaka basi Na hii ni kutokana tunaheshimiana Na naiheshimu familia yake.Je naanzaje kumwambia huyu mtu??? Na mi najua hatoweza nioa kwa mara ya pili,Na mi kijana tumeelewana vema.
Ebu wenye upeo wanipe mawazo Na ushauri jinsi ya kumwambia huyu baba pia nahitaji maneno ya busara maana asije akafa kwa presha.
Wale mliozoea kutukana sihitaji comments zenu Za matusi... muwe wastaarabu kwani hakuna asiejua kwamba kuna kuchepuka au kutembea Na mke au mme wa mtu.. huwezi kushauri pita tuu kwa ustaarabu.
Karibuni kwa msaada
Sasa tayari huyo rafiki WA mchepuko wako umeanza kudet nae unaogopa nini sasa. Siuendelee na mipango yako
 
Olewa shoga yangu! Olewa mama,yaonekana wewe ni mdada mzuri sana mtumie uyo mume wa mtu kama daraja lako La wewe kukutana na uyo jamaa, ila moyo wako uamue kwa kabisaa usije kumchezea picha baba wa watu ukawa unazunguka m buyu baadae, mwambie ukweli mwambie hutaki maisha ya kuwindwa (maana kutembea na mume wa mtu yataka moyo sana) tena unataka kuwinda watakao kuibia mumeo maana ukila vya wenzio nawe vyako vitaliwa tu
 
ukweli ni mchungu siku zote... ila kiukweli wewe unatakiwa kuwa makini mawili yaweza tokea jamaa akakuoa lakini msiwe happy akiamini wewe ulizoea vya kunyonga hata ukiwa uanalalamika kitu halisi yeye atakuona sababu ulizoea vya kunyonga,,, pili jamaa anaweza kuwa kewli anakupenda mkaishi maisha bora,,,,,,,,,, jamaa anaweza kuona kama uliweza tambulishwa as rafiki ukamzunguka mzee kwa yeye ana nini usimzunguke ....

mzee wa watu mwambie mimi natakakuendeea na maisha yangu naona sasa ni muda muafaka wa kuendelea na maisha yangu na kata mawasiliano over,.. hawezi kufa kwa presha sababu hakupendi anapenda familia yake ndiyo maana anakupiga marufuku kuingia familia yake .. wewe alikuwa anabadilisha ladha tu ,,,,,,, ila kama hela anayo unaweza amua kuolewa ukavumilie au uendelee na mzee uendelee kunyonga
Odeee kunyonga mwishooo shoga angu.. tunazeeka lol!
 
Olewa shoga yangu! Olewa mama,yaonekana wewe ni mdada mzuri sana mtumie uyo mume wa mtu kama daraja lako La wewe kukutana na uyo jamaa, ila moyo wako uamue kwa kabisaa usije kumchezea picha baba wa watu ukawa unazunguka m buyu baadae, mwambie ukweli mwambie hutaki maisha ya kuwindwa (maana kutembea na mume wa mtu yataka moyo sana) tena unataka kuwinda watakao kuibia mumeo maana ukila vya wenzio nawe vyako vitaliwa tu
maneno kuntu
 
Wewe olewa tu na huyo kijana, mimi mbabu sitaona so, ndiyo nitapata muda wa kiimarisha familia yangu. Sitafanya kama yule aliyeruka kutoka juu ya Gorofa jana pale makutano ya Bibi Titi na Morogoro road. si ungeniambia tu? kwa nini umekuja huku?
Hahahhaha Na wewe naweee
 
Naona dalili za kuendelea kuwa mchepuko hata baada ya kuolewa na kijana,ukionja nyama ya mtu hutaiacha asilani
 
Kuna watu hutumika kama daraja la mafanikio usimkatishe mwenzio tamaa wengi tumeolewa tukiwa hatuna bikra means tulikua tunatoka na watu wengine wanajulikana lakini mwanaume mwenye malengo ya dhati ma wewe hata akukute kwenye dangulo acha hiyo ya kukutoa kwenye penzi la mchepuko atakuoa tu labda kama na yeye uyo bwana awe m babaishaji
True say my dear
 
Ushauri hu mzuri..
exceptional lady Kwanza "AsstaghafirruLLah" sana ili utubie yaliyopita (toba inakubalika anytime) pili, sitisha upuuzi huo kwa uwazi mawasilianao na Old Boss, ili ufocus ktk maisha yako na mustakabli wa kifamily !! Laa sivyo utatumika kama chombo cha umma !! Dunia inaenda haraka utachokwa bure !!
Good luck
Thanx
 
Back
Top Bottom