Teh hata mi nitawajoin tu ila nitakuwa na wangu tukale Samaki wa Kuchoma.Tukutane kwa Nicky kesho. . . bili juu yako!
Hata mi nashangaaa, hajui si machalii wa Kiarusha ndo tuna Michongo ya kufa mtu kuliko wadada. Km vp aje Mat....ko Bar atatupata.Lazima wanawake?
Hata mi nashangaaa, hajui si machalii wa Kiarusha ndo tuna Michongo ya kufa mtu kuliko wadada. Km vp aje Mat....ko Bar atatupata.
Lazima wanawake?
Now at A-town nnajitahidi kwa nguvu za majicho yangu kuangaza apa na kule ili nipate rafiki ama marafiki wa kike ambao tutapata
kuchat hakuna mipaka ni kwa jinsia zote
Teh hata mi nitawajoin tu ila nitakuwa na wangu tukale Samaki wa Kuchoma.