Rafiki Mpaka Mchumba

Rafiki Mpaka Mchumba

Ww c una post unatafuta kazi......mm natafuta mchumba humu ale hela zng
 
waza kuongeza elimu, kufungua biashara n.k. mke hatafutwi hivo kwa matangazo.!!!!!
 
waza kuongeza elimu, kufungua biashara n.k. mke hatafutwi hivo kwa matangazo.!!!!!

teh teh kwan m2 unasoma ili iweje??? alafu kumbuka kama ww unafanya biashara basi uc force na mm nifanye hvy,nna kazi yng Serikalini safi mshahara wng unantosha kula na huyu ntakae mpata hapa,so usifananishe watu
 
waza kuongeza elimu, kufungua biashara n.k. mke hatafutwi hivo kwa matangazo.!!!!!

@ niwaze kuongeza elimu!!!!! ungekuwa rafiki yng whatsapp ungejua kazi nayo ifanya then ndyo ungefunga mdomo
 
Ungesema hivyo sasa....siku hizi mnavaa pete mpaka kule south. Mnatoboaga eti. nikikutana nayo dushe lazima isinyae.

Jombaaa, pete inavaliwaje kule, inawekwa kwenye nn, mbona naona mazingira ni magumu..!?!?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mkuu kuna watu walishuhudia humu kuwa wamepata wenzi wema kwa njia hiyo hiyo...

Haya lakini ukitaka uhalisia mapenzi ya namna hii ni machache yakadumu kwani naamini unaweza kumpenda ni yule unaeweza kumuona kwanza ndio utadevelop mapenzi lakini haya yakutangaza kama kazi sijui kama kuna seriousness
 
Back
Top Bottom