Rafiki Mpaka Mchumba

Rafiki Mpaka Mchumba

Ha ha ha kazi kufatilia mipango ya watu, tulishindwana hana assets ndani ana stuli mbili tu
Sasa na wewe unafanya nini?! Umeharibu mambo yote.

Ulitakiwa umtunzie siri mwenzio, wewe unamwanika,ndo maana hamudumu kwenye ndoa siku hizi, mambo kama hayo
 
Sasa na wewe unafanya nini?! Umeharibu mambo yote.

Ulitakiwa umtunzie siri mwenzio, wewe unamwanika,ndo maana hamudumu kwenye ndoa siku hizi, mambo kama hayo
Si umetaka kujua....
 
Back
Top Bottom