Rafiki Mkia wa Fisi!!!

Rafiki Mkia wa Fisi!!!

Unahofia anaweza kuja kupakatwa kama huyu jamaa
2F0E050900000578-0-image-m-24_1449235104464.jpg
Yaan nahofia sana Asprin....yaan siku hizi ukiwa na mtoto wa kiume pressure juu kuliko wa kike.Sielewi hata wanashawishiwaga na nini kuingia huku,ila nadhani kumpa uhuru mtoto kabla hajafika angalau miaka 20 ndio shida.
 
Alafu tukisema Africa tuna maadili yaliyotukuka mnabisha...


Miaka michache tu aliyokaa USA ashakuwa nanilii tayari....

Inasikitisha sana...


Cc: mahondaw
 
Halafu mtu kama huyu hakuna tena kinachoweza kumbadilisha labda MUNGU tu,Mleta mada wewe kaa nae mbali,mchane live na mwambie kabisa mipaka uliyoamua kuiweka kati yenu.atakuletea mikosi huyo kwenye familia yako.
 
Pole mkuu mkwepe na ikiwezekana mwambie mkeo tabia ya rafiki yako ili akusaidie kumkwepa
Kha mke akijua si ndo kitanuka wanawake akili zao zinawatosha wenyewe wachache sana waelewa mwingine anaweza kukuwazia kuwa ushapiga nae game unajibaraguza tu
 
Hatari sn ila mueleze shem anaweza kuja siku moja haupo pozi zake wife akahisi kitu so asijehisi mnajuana nae huyo jamaa yaan unampakua
 
Back
Top Bottom