My wife wake atamsaidia kumkwepa huyo dubwanaDuuh lakini ni vyema ukamwambia wife kuwa huyu jamaa sio riziki tena kuliko kumficha ficha siku jamaa akija kuchomesha kwa wife wako itakuaje sasa?? Muepuke sana
Yaani ampe taarifa kuwa huyo jamaa hafai na hata kama ikiwezekana asije hapo nyumbani kwa maana ni aibu...Wewe unadhani huyo jamaa akija kuchomesha itakuwajeMy wife wake atamsaidia kumkwepa huyo dubwana
Lakini mama, si imeandikwa tuwapende adui zetu?Si tayari ushamkwepa??? Hilo ndo la muhimu
Natamani sana mwanangu aende kwenye soka academy za nje...lakini taarifa kama hizi zinanizima kabisa kuendelea na hiyo mipango.
Kwani anamchukia babaa???!!!Lakini mama, si imeandikwa tuwapende adui zetu?
Babuu utani wa ngumi huoAnakusalimia...
View attachment 594174
Nikajua kamchukia baada ya kujua anagawa kijambio....Kwani anamchukia babaa???!!!
Nisamehe mpenzi...Babuu utani wa ngumi huo
Umetisha mkuu kila uzi naofungua umooooPole mkuu mkwepe na ikiwezekana mwambie mkeo tabia ya rafiki yako ili akusaidie kumkwepa