Rafiki alivyoniponza

Rafiki alivyoniponza

burners

New Member
Joined
Feb 3, 2019
Posts
1
Reaction score
6
Habari wadau,

Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.

Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.

Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kaombe msamaha ambao naamini hautapewa...kwa sababu unaonekana kakorofi sana wewe kadada...

Mara nyingi wanawake wanaoanzisha timbwili la wivu wa kimapenzi huwa hawana hekima na ni spanner mkononi...

Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.

Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.

Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
 
Za kuambiwa unachanganya na zako.
Enzi za ujana kuna aliyenitonya issue ya jamaa, aliniketea mpaka kadi ya party niende nitamkuta. Nilikwenda kufika nilimkuta na binti macho yetu yaligongana alijifanya hajaniona.

aliomba sana msamaha baada ya pale. Lakini kitendo cha kujifanya hajaniona kilinimaliza nguvu.
 
Dont judge people for what you hear, tena kwa suala zito kama la ndoa. Wanaokujaza upepo wanatamani hali uliyonayo pole sana komaa na usingo maza.
 
burners,

Dada, siku hizi hakuna mtu anaetaka stress. Maisha yenyewe haya magumu hivi nani anataka matatizo? Wewe ukijidai kiburi eti unaondoka, tena na mizigo utasaidiwa kubeba ufike salama huko uendako. Mambo ya kubembelezana ilikua zamani.
 
Ila wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.

Sababu wanawake tuna hasira za kila aina.
Ivi unajua ya kwamba namba yako ya Simu Sina??
 
Back
Top Bottom