Habari wadau,
Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.
Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.
Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.
Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.
Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app