lnx
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 387
- 295
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ila hapo ndio ujifunze kutokufanya maamuzi ukiwa na hasira.
GTgIla wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.
Sababu hasira zipo za kila aina.
Nyie ndo mnazidi kushusha hadhi ya ndoa, we umeambiwa tu tayari ushabeba na virago vyako, kwanini usingefanya uchunguzi yakinifu ukajiridhisha kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app

mF au nF?aisee mimi kwenye kususa nadhani kwenye top 10 niko zile namba za juu kabisaIla wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.
Sababu hasira zipo za kila aina.
Kwan huyu ndio yule dada emmy mwenye ta....???
Mkijifanya mnamwaga mboga sisi tunamwaga kweli mpk ugaliIla wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.
Sababu hasira zipo za kila aina.
Mmmmmhhhh

Mmh nyie wanawake si huwa mnaambiwa kuwa ni jeshi kubwa vipi jeshi gani hilo huwa wanauana wenyewe???Za kuambiwa unachanganya na zako.
Enzi za ujana kuna aliyenitonya issue ya jamaa, aliniketea mpaka kadi ya party niende nitamkuta. Nilikwenda kufika nilimkuta na binti macho yetu yaligongana alijifanya hajaniona.
aliomba sana msamaha baada ya pale. Lakini kitendo cha kujifanya hajaniona kilinimaliza nguvu.
Cha muhimu hapo ni kuhakikisha tu unapambana na hali yako kwa hali na maliHabari wadau,
Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.
Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.
Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Good morning kwanza.....halafu thanks for the tea
Hongera Mkuu. Ila si tabia nzuri.aisee mimi kwenye kususa nadhani kwenye top 10 niko zile namba za juu kabisa
Saa nyingine muwe munaangalia, sababu hapo hata kama huyo mwanamke hakuwa na uhakika inapaswa uchukulie chanzo cha yote ni hasira Mkuu.Mkijifanya mnamwaga mboga sisi tunamwaga kweli mpk ugali



yani muishi na sisi kwa uangalifu. Ukiletaa hasira tuu sisi tunà reply mara 10 yake
Saa nyingine muwe munaangalia, sababu hapo hata kama huyo mwanamke hakuwa na uhakika inapaswa uchukulie chanzo cha yote ni hasira Mkuu.
Sababu unadhania asingemkuta huyo mwanaume angefungasha hiyo mizigo na kuondoka?
Hivi ulishawahi kuwa na njaa alafu kuna mtu anakuringisia msosi mpaka njaaa yenyewe inakuonea huruma ina sepa? 😁 😁Hongera Mkuu. Ila si tabia nzuri.