Rafiki alivyoniponza

Rafiki alivyoniponza

Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe..kaombe msamaha..ukikataliwa usichukie umelikoroga jiandae kulinywa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wafupi mnamatatizo hasira zako za wivu zlikugharimu pole, usipende kusikiliza maneno ya marafiki
burners,
 
Za kuambiwa unachanganya na zako.
Enzi za ujana kuna aliyenitonya issue ya jamaa, aliniketea mpaka kadi ya party niende nitamkuta. Nilikwenda kufika nilimkuta na binti macho yetu yaligongana alijifanya hajaniona.

aliomba sana msamaha baada ya pale. Lakini kitendo cha kujifanya hajaniona kilinimaliza nguvu.
Mmh nyie wanawake si huwa mnaambiwa kuwa ni jeshi kubwa vipi jeshi gani hilo huwa wanauana wenyewe???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau,

Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.

Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.

Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha muhimu hapo ni kuhakikisha tu unapambana na hali yako kwa hali na mali
 
Mkijifanya mnamwaga mboga sisi tunamwaga kweli mpk ugali
Saa nyingine muwe munaangalia, sababu hapo hata kama huyo mwanamke hakuwa na uhakika inapaswa uchukulie chanzo cha yote ni hasira Mkuu.

Sababu unadhania asingemkuta huyo mwanaume angefungasha hiyo mizigo na kuondoka?
 
yani muishi na sisi kwa uangalifu. Ukiletaa hasira tuu sisi tunà reply mara 10 yake
Saa nyingine muwe munaangalia, sababu hapo hata kama huyo mwanamke hakuwa na uhakika inapaswa uchukulie chanzo cha yote ni hasira Mkuu.

Sababu unadhania asingemkuta huyo mwanaume angefungasha hiyo mizigo na kuondoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom