Rafiki alivyoniponza

Rafiki alivyoniponza

Dada kaombe msamaha inaelekea bd unampenda mmeo ss ya nini kuteseka?

Ila siku ingine jifunze kutoa maamuz ukiwa umetulia na sio ukiwa na hasira hii itakusaidia sana.
 
Naona unatucheka Mkuu. Wakati hasira zetu zinatofautiana.

Mie Alhamdulillah niko salama. Kwema?
Sijambo kabisa! Ee Mungu niepushe na magovi na huyu mke ajae si muda mrefu.

Hasira ni zilezile kikubwa mjitambue na ku-control hisia zenu. Kikubwa waume zenu tunawapenda sana ila hatutakagi ujinga mtambue hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bigmind,
Amiiin!!! Hongera Mkuu naamini umechagua chaguo lililo bora zaidi japo maugomvi ni ngumu kuyazuia cha zaidi ni kuomba yawe ni yale yanayotatulika.

Na kweli usemalo huwa ni ngumu kuzicontrol hizo hasira lakini inafaa sana kufanya maamuzi hasira ikiwa ishaisha mana hicho ndio kinachoharibu mambo siku zote.
 
Siku ya mwisho wa mwaka na umeamka na Uzi kabla ya kupata chai
 
Saa nyingine muwe munaangalia, sababu hapo hata kama huyo mwanamke hakuwa na uhakika inapaswa uchukulie chanzo cha yote ni hasira Mkuu.

Sababu unadhania asingemkuta huyo mwanaume angefungasha hiyo mizigo na kuondoka?
Kuna muda mnakuwa hamtaki kusikiliza upande wa mtuhumiwa, na sisi ni wagumu wa kubembeleza mara mbili mbili labda kama ni mwanaume wa Darisalama
 
Cha kukusaidia ni kushika akili yako mwenyewe inaonyesha una akili za kushikiwa,

Nisamehe kama nimekukosea.
 
Kisa chako kama cha mke wa jamaa kaondoka na kila kitu hadi sufuria za kupikia jamaa kanza kununua upya hadi vikombe. Baada ya muda mke anarudi kuomba arudi tena. Hawa viumbe aliewaumba nafikiri kuna kitu alipunguza wakati wa kumix material za uumbaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki kakuponza ama wewe mwenyewe umejiponza,?? Akili za kuambiwa changanya na zako
 
Naogopa sana. Mume au mke anakuwa mbaya ukiwa naye ndani. Ondoka sasa ndio utajua umuhimu wake. Hakuna mdoa iliyo rahisi ni kuchukuliana tuu na zaidi kuwa makini na unayoambiwa na mashost.
Nyie ndo mnazidi kushusha hadhi ya ndoa, we umeambiwa tu tayari ushabeba na virago vyako, kwanini usingefanya uchunguzi yakinifu ukajiridhisha kwanza?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom