Grey256
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,242
- 2,618
Ukimaanisha nini bro?Stress ndogo ndogo ni mbaya....
Ulivyoandika hapa tu ni dhahiri ushadanganya. 😀Mimi nilikuaga nayo ile ya voda sema nilipobadilisha simu nikapoteza. Hebu nikumbushe 😀
Ila wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.
Sababu wanawake tuna hasira za kila aina.
Hivi upogo jf hii Antonio? 😳
Tena kasimama nae tu wangekuwa wanatembea si angekufa kabisaWe ni Boya wakufungia Mwaka unamuacha Mumeo kisa umeambiwa kasimama na mwanamke?
Saa nyingine hazizuiliki ujue. Kikubwa tukisusa sio nyie mnakula kabisa.
Mujitahidi kurudi nyuma kidogo bana.
Sasa jirani kila mmoja ikiwa dawa yake ndio hiyo si mtabadilisha wanawake kila leo?Uvumilivu una mwisho. Unakuta mwanamke anagubu saana upo kwenye mishe unatafuta yeye anakutumia msg najua upo na mchepuko.
Dawa yao ni hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasira tu hizo jirani.
Mmh. 🤔🤔🤔
Hivi upogo jf hii Antonio?
Markhabaaa. Za wewe?
Sasa jirani kila mmoja ikiwa dawa yake ndio hiyo si mtabadilisha wanawake kila leo?
Huyo wa sms saa nyingine ni mapenzi tu yanatuzidia basi na hapo unakuta gubu haliepukiki.
Maisha ni mafupi saana. Mambo yakuvumilia mwisho wa siku unakosà amani.Hasira tu hizo jirani.
ahahahahahaha.Za kuambiwa unachanganya na zako.
Enzi za ujana kuna aliyenitonya issue ya jamaa, aliniketea mpaka kadi ya party niende nitamkuta. Nilikwenda kufika nilimkuta na binti macho yetu yaligongana alijifanya hajaniona.
aliomba sana msamaha baada ya pale. Lakini kitendo cha kujifanya hajaniona kilinimaliza nguvu.