Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,084
- 122,428
Itabidi jirani. Wacha weee
Itabidi jirani. Wacha weee
Saa nyingine hazizuiliki ujue. Kikubwa tukisusa sio nyie mnakula kabisa.Hahaha endeleeni kuwa hivyo hivyo...
Mimi nilikuaga nayo ile ya voda sema nilipobadilisha simu nikapoteza. Hebu nikumbushe 😀Duuh! Hauko peke yako Mkuu. 😎
rafiki mnafikiHabari wadau,
Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.
Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.
Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa nyingine hazizuiliki ujue. Kikubwa tukisusa sio nyie mnakula kabisa.
Mujitahidi kurudi nyuma kidogo bana.
Eti eee? Ila Mke kununiwa kawaida.Mume hanuniwi kipenzi
Umewahi ona wapi bosi ananuniwa na msaidizi waje!!!?Eti eee? Ila Mke kununiwa kawaida.
Hivo kumbee eehh??Mume hanuniwi kipenzi
Kuna watu wasanii sanaZa kuambiwa unachanganya na zako.
Enzi za ujana kuna aliyenitonya issue ya jamaa, aliniketea mpaka kadi ya party niende nitamkuta. Nilikwenda kufika nilimkuta na binti macho yetu yaligongana alijifanya hajaniona.
aliomba sana msamaha baada ya pale. Lakini kitendo cha kujifanya hajaniona kilinimaliza nguvu.
Pole sana,ila kama hana habari na ww kuna uwezekano yuko na mtu anamkeep busy.Habari wadau,
Kuna siku rafiki wa karibu alikuja kunipa taarifa kuwa kamkuta mpenzi wangu na dada mmoja ambaye ni malaya sana.
Na aliwakuta barabarani wamesimama na akahofia kuwa kuna ishu inaendelea.
Bila kupata ukweli nikagombana na mume, sasa ni mwaka nimeondoka kwangu na rafiki hana msaada tena.
Leo nagundua nilimkosea mume nae Hana habari na mimi tena. Nifanyaje jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti eee? Ila Mke kununiwa kawaida.
Hivo kumbee eehh??
Stress ndogo ndogo ni mbaya....Ila wanaume muwe mna mnatuelewa jamani. Sio mwanamke akisusa nyie mnakula kabisaa.
Sababu wanawake tuna hasira za kila aina.