The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Jana mchana radio times fm
watangazaji sijui walianzia wapi
but wakati naanza kusikiliza nikasikia
wanashindana kutaja majina ya bangi......
I mean watangazaji kama wanne na baadhi ya
wasikilizaji wanatuma sms halafu majina yanasomwa....
Kuna siku nasikiliza kipindi cha michezo cha clouds fm
mtangazaji wao milad ayo akawa anatangaza mambo
ambayo ni ya kipuuzi mno.....
Sijui obama kamualika jlo kwenye kutazama supebowl ikulu,
mara muigizaji gani sijui wa hollywood kaachana na mke wake...
Sasa hata maana ya kipindi cha michezo hakuna....
Najiuliza hili swali hivi radio za fm hazina chombo kinachotoa muongozo????????na mipaka ya nini kitangazwe??????????
watangazaji sijui walianzia wapi
but wakati naanza kusikiliza nikasikia
wanashindana kutaja majina ya bangi......
I mean watangazaji kama wanne na baadhi ya
wasikilizaji wanatuma sms halafu majina yanasomwa....
Kuna siku nasikiliza kipindi cha michezo cha clouds fm
mtangazaji wao milad ayo akawa anatangaza mambo
ambayo ni ya kipuuzi mno.....
Sijui obama kamualika jlo kwenye kutazama supebowl ikulu,
mara muigizaji gani sijui wa hollywood kaachana na mke wake...
Sasa hata maana ya kipindi cha michezo hakuna....
Najiuliza hili swali hivi radio za fm hazina chombo kinachotoa muongozo????????na mipaka ya nini kitangazwe??????????