Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Bunge lilizuiwa kurushwa live ili watu wapige kazi ikiaminika kuwa muda huo ni wa kazi,yaani hapa kazi tu!Basi ili kuifanya dhana hii iwe kweli tuzuie TV,radio na social network kuoperate muda wa kazi ili watu wengi wapige kazi!
Hii inamaana hata kiki za JPM kupokea gawiwo tuzione kwenye taarifa usiku!
Hii inamaana hata kiki za JPM kupokea gawiwo tuzione kwenye taarifa usiku!