Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,780
Naomba walau sikumoja nipate bahati ya kuhudhuria kipindi chao ili tujadiliane kwa hoja, huenda kuna vitu hawavijui ama wanavijua ila wanavikwepa kwamakusudi tu.
Kabla hujaenda huko tuwekee hapa hivyo ambavyo hawavijui tuvijue na sisi maana wengine hatuna access na hiyo redio!