BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 845
- 254
Wanajamvi. Hebu niwaulize swali la kishamba kidogo. "Hivi hawa waandishi wa Radio Iman pamoja na Guest Speakers wao wamesomea nchi gani?". I mean je ni watanzania, wamesoma vyuo vya uandishi tunavyovijua? imekuwaje basi hawawezi kuigilizia waandishi wanzao kwenye radio nyingine na kuendesha vipindi vizuri?
Chungu kumeza