Radio imaan na sakata la kuchinja

Radio imaan na sakata la kuchinja

Status
Not open for further replies.

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere

Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
 
usiwaonee radio imani kama wao ni waislamu watatetea yao the same ukiwakuta wakristo nao watatetea yao,
mwisho wa siku nchi itaingia kwenye machafuko nafikiri ndiko tunako elekea,
na kwa mtindo huu CCM kuitoa madarakani katu hatuwezi maana tumeanza kusambaratika
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.....
 
Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere

Sealing kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?

Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,
 
Last edited by a moderator:
Kuna bwana anaitwa Daniel, kapiga simu na kuwaelewesha kuhusu MOU bila shaka wameelewa

Kiongozi wao akiongea kwa simu amewaambia wasipoteze muda kwa habari ya kuchinja, kama wakristo wakitaka kuchinja waachwe wachinje, cha msingi waislamu wakipange waweke nembo ktk bucha zao ili waislamu wanunue huko....simple!
 
usiwaonee radio imani kama wao ni waislamu watatetea yao the same ukiwakuta wakristo nao watatetea yao,
mwisho wa siku nchi itaingia kwenye machafuko nafikiri ndiko tunako elekea,
na kwa mtindo huu ccm kuitoa madarakani katu hatuwezi maana tumeanza kusambaratika
kidumu chama cha mapinduzi.....

kudumuuuuuuuuuuuu!
 
Hili suala la kuchinja mboana sijasikia kauli kutoka makanisa makubwa hapa bongo kama Catholic,Lutheran,Anglican na Moravian? Kwanini haya makanisa ya mitume sijui nabii fulani ndiyo yamelishikia bango sana hili suala? "I can smell a rotten egg" kuna ajenda nyuma ya pazia lazima.
 
Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,

mabuchani wakristo hawataki kula tena nyama iliyotolewa kwa miungu ya waislamu. period. na hivyo wakristo katika bucha zao wataweka nyama zao. Kwani uliwahi kuona mkristo aliyezikwa katika makaburi ya waislamu au shehe aliyefunga ndoa ya mkristo kanisani??? basi na kuchinja nako inawezekana kila watu wakajichinjia na kula nyama zao!!
 
Hili suala la kuchinja mboana sijasikia kauli kutoka makanisa makubwa hapa bongo kama Catholic,Lutheran,Anglican na Moravian? Kwanini haya makanisa ya mitume sijui nabii fulani ndiyo yamelishikia bango sana hili suala? "I can smell a rotten egg" kuna ajenda nyuma ya pazia lazima.

Pentecostal council of Tanzania (PCT) wametoa tamko kwa niaba ya makanisa yote ya kipentekoste Tanzania. Limesomwa wakati wa mazishi ya Mch Mathayo pale Buselesele tarehe 14/2/2013. Na makanisa yote ya CCT wametoa tamko lao wakati wa mazishi ya Askofu Laizer tarehe 15/2/2013 pale Arusha Usharika wa mjini kati. tatizo ni kuwa vyombo vingi vya habari vimezuiwa (au vimeogopa??) kutoa matamo hayo live. CCt inajumuisha makanisa yote ya kiprotestant yasiyo ya kipentecoste km Anglican. Lutheran, Menonite, Aic, Moravian n.k
 

Pentecostal council of Tanzania (PCT) wametoa tamko kwa niaba ya makanisa yote ya kipentekoste Tanzania. Limesomwa wakati wa mazishi ya Mch Mathayo pale Buselesele tarehe 14/2/2013. Na makanisa yote ya CCT wametoa tamko lao wakati wa mazishi ya Askofu Laizer tarehe 15/2/2013 pale Arusha Usharika wa mjini kati. tatizo ni kuwa vyombo vingi vya habari vimezuiwa (au vimeogopa??) kutoa matamo hayo live. CCt inajumuisha makanisa yote ya kiprotestant yasiyo ya kipentecoste km Anglican. Lutheran, Menonite, Aic, Moravian n.k


View attachment 83451

Hapo vipi? Nimeikuta humu JF hiyo Bucha
 

Pentecostal council of Tanzania (PCT) wametoa tamko kwa niaba ya makanisa yote ya kipentekoste Tanzania. Limesomwa wakati wa mazishi ya Mch Mathayo pale Buselesele tarehe 14/2/2013. Na makanisa yote ya CCT wametoa tamko lao wakati wa mazishi ya Askofu Laizer tarehe 15/2/2013 pale Arusha Usharika wa mjini kati. tatizo ni kuwa vyombo vingi vya habari vimezuiwa (au vimeogopa??) kutoa matamo hayo live. CCt inajumuisha makanisa yote ya kiprotestant yasiyo ya kipentecoste km Anglican. Lutheran, Menonite, Aic, Moravian n.k



Sawa mkuu labda kweli sijasikia kwasababu kama unayoisema kuwa vyombo vya habari havitangazi, Kwahiyo kauli ya pamoja ya hiyo miungano ya makanisa imesemaje?
 
Kwani uliwahi kuona mkristo aliyezikwa katika makaburi ya waislamu au shehe aliyefunga ndoa ya mkristo kanisani??? basi na kuchinja nako inawezekana kila watu wakajichinjia na kula nyama zao!!
Kweli lakini tusiishie hapo tu!
Kuwe na Mou ya Wakristo na Serikali na Mou ya Waislamu na Wakristo.

Kuwe na NECTA ya Waislamu na NECTA ya Wakristo.
 
Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,

Kuna shida gani ku-label kwamba nyama kwenye butchery hii haikuchinjwa na muislamu? Atakaetaka kula atakula asietaka na aache. Kwanini unilazimishe kula nisichokitaka?
 
Kweli lakini tusiishie hapo tu!
Kuwe na Mou ya Wakristo na Serikali na Mou ya Waislamu na Wakristo.

Kuwe na NECTA ya Waislamu na NECTA ya Wakristo.

Nani alimkataza muislamu kujenga shule/hospitali? MoU mnayoipigia kelele inainufaisha pia hospitali ya Agha Khan, nayo ni ya kanisa? Halafu hiyo pesa inayohusiana na MoU inatolewa na makanisa ya Ulaya hasa Ujerumani, unalijua hilo???
 
Kuna bwana anaitwa Daniel, kapiga simu na kuwaelewesha kuhusu MOU bila shaka wameelewa

Kiongozi wao akiongea kwa simu amewaambia wasipoteze muda kwa habari ya kuchinja, kama wakristo wakitaka kuchinja waachwe wachinje, cha msingi waislamu wakipange waweke nembo ktk bucha zao ili waislamu wanunue huko....simple!

Kuna economic reason nyuma ya kung'ang'ania kuchinja. Watu wanakusanya hela ndefu hapo, hakuna jingine.
 
Mimi sioni issue hapa tuwe na HALAL butcher na HARAM butcher watu wachague kwa kununua!
 
Waislamu, ni haramu kula nyama isio halal, kunywa pombe na ushoga. Sasa sisi sio nyinyi na nyinyi sio sisi, kama vipe kila watu kivyao, msitupigie kelele!
 
MoU mnayoipigia kelele inainufaisha pia hospitali ya Agha Khan, nayo ni ya kanisa? Halafu hiyo pesa inayohusiana na MoU inatolewa na makanisa ya Ulaya hasa Ujerumani, unalijua hilo???
Unasema kuwa pesa ya MoU inatolewa na Makanisa ya Ulaya halafu pesa hizohizo za Makanisa wanapewa hospitali ya AghaKhan!

Hivi hii inakuingia akilini?
 
usiwaonee radio imani kama wao ni waislamu watatetea yao the same ukiwakuta wakristo nao watatetea yao,
mwisho wa siku nchi itaingia kwenye machafuko nafikiri ndiko tunako elekea,
na kwa mtindo huu CCM kuitoa madarakani katu hatuwezi maana tumeanza kusambaratika
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.....

Spelling sahihi ni KIGUMU
 
Sasa sisi sio nyinyi na nyinyi sio sisi, kama vipe kila watu kivyao..!
Oh! natafuta watu kama wewe! natumai katika tamko lijalo la Maaskofu (wakati wa Pasaka) watalitaja hili ili tuiepushe nchi na vita.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom