Redio imaan wanalalamikia viongozi wa kikristo waliohimiza waumini wao kutokula nyama iliyochinjwa na watu wa imani tofauti, wanasema hii ndio ilikua mwanzo wa mauaji huko buserere
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?
Swali kwa redio imaan, Mi nikiamua kuchinja nyama yangu tatizo nini? Kwani nikiamua kutokula mlivochinja nyie taabu inatoka wapi?