Radio imaan na sakata la kuchinja

Radio imaan na sakata la kuchinja

Status
Not open for further replies.
Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,
Kwani mkilishwa bila kujuwa ni dhambi kwenu? Mbona hata nguruwe kwenye shida ya chakula si mnaruhusiwa?
 
Last edited by a moderator:
Waislamu, ni haramu kula nyama isio halal, kunywa pombe na ushoga. Sasa sisi sio nyinyi na nyinyi sio sisi, kama vipe kila watu kivyao, msitupigie kelele!
Pombe tunakunywa nanyi kila kukicha na nguruwe vile vile.
 
Unasema kuwa pesa ya MoU inatolewa na Makanisa ya Ulaya halafu pesa hizohizo za Makanisa wanapewa hospitali ya AghaKhan!

Hivi hii inakuingia akilini?

Of course haiwezi kukuingia akilini WEWE na watu wa aina yako maana dini yenu nyie ipo kushindana na Ukristo. Kwa hiyo kwako wewe ni ajabu pesa ya kanisa kupewa muislamu. Kuna msikiti Vatican City lakini hakuna kanisa hata moja (Na hairusiwi kujenga) Saudi Arabia, unajua hilo? Kuna waalimu waislamu walioajiriwa na shule za kanisa, lakini ni sera rasmi kuwa Mkristo hawezi kuajiriwa kwenye taasisi ya Kiislamu. Kadinali Pengo alishawahi kuwa na dereva muislamu.

Yako mengi (yanayotutofautisha sie na nyie) ambayo hayatakuingia akilini! Lakini kukataa kwa akili yako kuingiza hayo mambo hakubadilishi ukweli kuwa yapo!
 
Unasema kuwa pesa ya MoU inatolewa na Makanisa ya Ulaya halafu pesa hizohizo za Makanisa wanapewa hospitali ya AghaKhan!

Hivi hii inakuingia akilini?

Kwani wana akili hawa ? Uongo wote umeisha sasa !
 
Of course haiwezi kukuingia akilini WEWE na watu wa aina yako maana dini yenu nyie ipo kushindana na Ukristo. Kwa hiyo kwako wewe ni ajabu pesa ya kanisa kupewa muislamu. Kuna msikiti Vatican City lakini hakuna kanisa hata moja (Na hairusiwi kujenga) Saudi Arabia, unajua hilo? Kuna waalimu waislamu walioajiriwa na shule za kanisa, lakini ni sera rasmi kuwa Mkristo hawezi kuajiriwa kwenye taasisi ya Kiislamu. Kadinali Pengo alishawahi kuwa na dereva muislamu.

Yako mengi (yanayotutofautisha sie na nyie) ambayo hayatakuingia akilini! Lakini kukataa kwa akili yako kuingiza hayo mambo hakubadilishi ukweli kuwa yapo!

Hata mkiristo kutembelea Makka ni makosa, pameandikwa pale asifike asie amini !
Ni kweli yako mengi hayatuingii akilini likiwemo la kudai mungu mnayo picha yake !
 
Pombe tunakunywa nanyi kila kukicha na nguruwe vile vile.

Unaye kunywa naye pombe na kula nguruwe huyo ni kafiri mwenzio au 'muasi' anaye amini na kuogopa siku ya mwisho atakuwa msikitini anaswali l'Ishai !
 
Pombe tunakunywa nanyi kila kukicha na nguruwe vile vile.

POMBE NI HARAMU, NGURUWE NI HARAMU NA USHOGA NIHARAMU. KWA MUISLAMU ANEFANYA HIVYO SIO MUISLAMU, WALA UISLAMU SIO MAJINA. Ingawa wapo watu wenye majina ya kiislamu wanafanya yote hayo, na wao wanajua kua hilo ni kosa. Ingawa nyie wenzetu mmeenda mbali zaidi mpaka mmevifanya vyote hivyo kua ni halali na haki za kibinadamu.
 
POMBE NI HARAMU, NGURUWE NI HARAMU NA USHOGA NIHARAMU. KWA MUISLAMU ANEFANYA HIVYO SIO MUISLAMU, WALA UISLAMU SIO MAJINA. Ingawa wapo watu wenye majina ya kiislamu wanafanya yote hayo, na wao wanajua kua hilo ni kosa. Ingawa nyie wenzetu mmeenda mbali zaidi mpaka mmevifanya vyote hivyo kua ni halali na haki za kibinadamu.

Mkeo kama konde waweza ingilia popote!!!!!!!?
 
Mbona hamkuruhusiwa ' mavi'? basi nguruwe halal kwenu hacheni unafiki!!!

Hatutendi kwa matakwa ya mtu wala matamko ya Papa, kama vile tamko mlopewa la kuoana ninyi kwa nyinyi, yaani kulawitiana kuwa tendo halali linalotambuliwa na Kanisa !
 
Mbona hawalilii kuchinja nyati? Wao wanalilia wanyama wapole ili wapate kilo moja ya ahsante
 
Kuna economic reason nyuma ya kung'ang'ania kuchinja. Watu wanakusanya hela ndefu hapo, hakuna jingine.

Anae ng'ang'ania ni huyo anaetaka kuingia kwa fitina zote na yeye achinje ikiwa hapo kabla alikuwa hachinji !
Ikiwa hiyo shughuli ni kubwa, bila shaka kanisa halina freelancers wa uchinjaji !
Ukiwa mapepo mnatolewa kwa malipo sembuse uchinjaji wa kibiashara !?
 
Mimi sioni issue hapa tuwe na HALAL butcher na HARAM butcher watu wachague kwa kununua!

Na hilo ndilo liloazimiwa na wazungumzaji wengi na viongozi wa Kiislaam. Mbona itatuongezewa point na itapromote Uislaam ! Maana huku wanauza 'Nyama Halal' na huku wanauza nyama 'Holela' !
 
Usiseme waislam watalishwa.....sema watakula.
Hizi imani zilizokuja kwa merikebu zitawatoa kamasi.
Uswe usidhan kama unaiskiza peke yako,wao wanasema kwamba kuchinja nyama na wao wenyewe (wakristo) wakaila si tatizo,ila kupeleka mabuchani ndo kutaleta mtafaruku,maana wanaweza wakanunua watu wenye hoteli then wakaenda kuwalisha waislam,
 
Last edited by a moderator:
Kama ya kwako ni bora ya nini kuikashifu ya mwingine?

Kam ubwbwa na nyama ndivo vitakavowapeleka watu peponi/mbinguni/ahera. Then, imani itakuwa haina maana. Kuitukana imani ya mwingine huku ukijisikia kwamba utakapokula nyama halal utaiona pepo ni ujinanga wa hali ya juu.
Na hilo ndilo liloazimiwa na wazungumzaji wengi na viongozi wa Kiislaam. Mbona itatuongezewa point na itapromote Uislaam ! Maana huku wanauza 'Nyama Halal' na huku wanauza nyama 'Holela' !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom