Radio Clouds hawajaufurahia ushindi wa CHADEMA?

Clouds kutumia kauli mbiu ya Peoples station ni kama kujidhalilisha wao wenyewe kwani Sauti ya watu na nguvu ya Umma ni Chadema
 
Hii Radio ni ya kuifungia tu kwa nguvu ya UMMa....

Watashangaa siku watu wakianza kuwapigia vuvuzela wanapopita kina kibonde, kwanza wanapotosha sana jamaii ya waTZ jamaa wako after money ndiyo maana wanaona ni bora kuwakumbatia mafisadi kuliko watanzania..
 
ndio!! nimewasikia Clouds, walikuwa wakiingolea ushindi wa chadema kwa unyonge sana, mpaka nimeshindwa kuelewa; hivi vijana wadogo, jerard, PJ na B ni watu wakushabikia CCM kiasi hicho?. Nini kinachowaunganisha na CCM??. naomba data wadaiu.. haijaniingia akilini hata ki9dogo................!!!!!!!!
 
Kuna vyombo vya habari ambavyo CDM ikiwa kwa regime either vifutwe au vibadili misimamo yao!
Ushindi wa CDM ni habari ambayo imetanda kila kona ya nchi wewe hutaki itangazwe basi badala yake sema CCM imeangukia pua.
 
ndio!! nimewasikia Clouds, walikuwa wakiingolea ushindi wa chadema kwa unyonge sana, mpaka nimeshindwa kuelewa; hivi vijana wadogo, jerard, PJ na B ni watu wakushabikia CCM kiasi hicho?. Nini kinachowaunganisha na CCM??. naomba data wadaiu.. haijaniingia akilini hata ki9dogo................!!!!!!!!

It might sound so simple lakini nani ana ubavu wa kufanya kinyume na mapenzi ya mwajiri wake na akabaki salama???
Hata tunaongea hapa nyuma ya keyboard zetu hatuna ujasiri huo, its easier said than done.

Ni nani kati yetu akipewa ulaji na JK atakataa kwa vile uteuzi umefanywa na mkuu wa magamba?????

Clouds ni redio binafsi hivyo itaangalia maslahi yake zaidi kabla ya jambo jingine.
Hivi umewahi kujiuliza inakuwaje mtangazaji anasifia kampuni moja ya simu (say Tigo) kwa mbwembwe zote lakini an hour later mtangazaji huyo huyo anasifia kampuni ingine (say Vodacom).
Na kwa msingi huo kwao ni safe kujitambulisha na chama tawala, lakini wallah nakwambia endapo CDM itapewa ridhaa ya kuongoza watanzania same radio will sing praise of CDM like never before....Ila pia ni vizuri kutambua kuwa kwa nchi zetu hizi maskini wa demokrasia, ni rahisi kuwa na gazeti vocal/critical kwa watawala kuliko kuwa na radio au Tv yenye msimamo mkali kwa serikali.

Katika mazingira hayo ni vema tumhukumu mtangazaji mmoja mmoja!

Tukielewa hili wala hatutapata taabu..

Mbaya wetu ni TCB 1 ambaye anakula kodi ya wote lakini anampendelea mmoja, huyu tumwombee njaa tu....!
 
Mkuu yote hayo watu wameshasikia lakini wanawachukia hawa clouds kwa mwendo wao wakutokubalance habari

Kiongozi ni ndoto kufikiria Clouds kuwa pro-CDM.

Dawa ni kwa CDM yenyewe ama mwanaCDM kama Mzee Ndesamburo kuanzisha radio ama Tv yake.

Mtu kama Sabodo akianzisha Tv yake inaweza isiwe bias coz he has money and there is no way CCM can squeeze kama wanavyowatia adabu wafanya biashara wengine....
 
kwani wewe huwajui clouds kazi yao mara nying hufanyia kazi mafisadi!gamba chali wao kimya lingeshinda ungeona kelele mpaka asubuhi
 
Kiongozi ni ndoto kufikiria Clouds kuwa pro-CDM.

Dawa ni kwa CDM yenyewe ama mwanaCDM kama Mzee Ndesamburo kuanzisha radio ama Tv yake.

Mtu kama Sabodo akianzisha Tv yake inaweza isiwe bias coz he has money and there is no way CCM can squeeze kama wanavyowatia adabu wafanya biashara wengine....

Mr Ruge is a businessman hata siku moja huwezi kufanikiwa ukiwa against na rulling party so kujipendekeza kwake kwa sisiem kuna isaidia clouds media. Hata wewe ukiwa na media yako ukiwa against watakusumbua mpaka basi.
Angalia watu kama Bakharesa kaiba pembe za ndovu mpaka basi enzi za Mwinyi.
Mengi nae amekwiba and im honest to mention him too.
Wamefanikiwa kwa sababu hawakigasi chama tawala.
Hata mimi nikijariwa nikapata nafasi ya ***** na kuwa position kubwa siwezi kuwa against na chama tawala aidha CDM au CCM.
 
wanasikilizwa na wengi wasiwe wabaguzi maana ukibagua leo tutakubagua kesho, waache watu wachague
 
He he he heeee si ndio alikua hataki DEDs wawepo kwenye mchakato wa katiba mpya huyu? akae chonjo M4C itatembelea upareni siku si nyingi
 
Yani ccm safari hii mpaka wavue jez katikati ya mechi,,,,huyo AKM hana jipya ni mikwara ya mende kutaka kumeza kabati ili hali yuko ndan ya kabati....chadema hoyeeeeeeeeeeee


nimeipebda hii y akuvua jezi katikati ya mechi ..hahaaaa
 
Kauli za mama Ane Kilango akiwa Kiwira zina maanisha nini anaposema watu wametoka mbali kuja kufanya fujo. Hivi hao waliotoka tukuyu na Mbeya na viunga vingine vya wilaya ya Rungwe wametoka mbali kiasi gani kuzidi yeye aliyetoka same mashariki? Hii ni aibu ya ccm

hahahaaa hawa awatu huwa wanajisahau sana, wanajiona wao kama miungu watu, kama wao wana haki zaidi, yeye atoke same mashariki kwenda akufanya vurungu kiwira afu aseme mtu kutoka tukuyu katoka mbali sana!
 
Katika uchaguzi wa Udiwani kata ya Kirumba Jimbo la Ilemela Mwita gachuma alijiingiza kichwa kichwa kumpigia Jack Fish kampeni Bro. wangu anafanya kazi Cocacola Nyanza botttle ananiambia soda za cocacola mauzo yameshuka vibaya for the 2 weeks ago na hii inatokana na kauli ya Highness Kiwia (MP Ilemela) kuwataka wananchi wa mwanza kususia soda za Gachuma wanywe pepsi company.
 
Sasa Impact kama hii inaweza kuwatokea hawa jamaa hata kama itachukua muda lkn kwa utaratibu huu lazima itafika wakati watapoteza wasikilizaji.
 
Clouds wanafiki, hawajiamini wanauma Kwa magamba wapo, wanajiita peoples station mbona wanapinga peoples power??????????????????? hasa Kibonde, huyu jamaa kila kitu anajifanya anajua, wadau nipeni cv yake........
 
Hawajafurahia, nashangaa wanakumbuka blanket asubuhi, CCM kinakufa wao ndio wanaamka kukipigia debe too late.
 
Back
Top Bottom