ndio!! nimewasikia Clouds, walikuwa wakiingolea ushindi wa chadema kwa unyonge sana, mpaka nimeshindwa kuelewa; hivi vijana wadogo, jerard, PJ na B ni watu wakushabikia CCM kiasi hicho?. Nini kinachowaunganisha na CCM??. naomba data wadaiu.. haijaniingia akilini hata ki9dogo................!!!!!!!!
Mkuu yote hayo watu wameshasikia lakini wanawachukia hawa clouds kwa mwendo wao wakutokubalance habari
Kiongozi ni ndoto kufikiria Clouds kuwa pro-CDM.
Dawa ni kwa CDM yenyewe ama mwanaCDM kama Mzee Ndesamburo kuanzisha radio ama Tv yake.
Mtu kama Sabodo akianzisha Tv yake inaweza isiwe bias coz he has money and there is no way CCM can squeeze kama wanavyowatia adabu wafanya biashara wengine....
Yani ccm safari hii mpaka wavue jez katikati ya mechi,,,,huyo AKM hana jipya ni mikwara ya mende kutaka kumeza kabati ili hali yuko ndan ya kabati....chadema hoyeeeeeeeeeeee
Kauli za mama Ane Kilango akiwa Kiwira zina maanisha nini anaposema watu wametoka mbali kuja kufanya fujo. Hivi hao waliotoka tukuyu na Mbeya na viunga vingine vya wilaya ya Rungwe wametoka mbali kiasi gani kuzidi yeye aliyetoka same mashariki? Hii ni aibu ya ccm
Wanadis ila wanakubali kiaina