MAKAPILE
Member
- Mar 27, 2012
- 8
- 1
"Kauli za mama Ane Kilango akiwa Kiwira zina maanisha nini anaposema watu wametoka mbali kuja kufanya fujo. Hivi hao waliotoka tukuyu na Mbeya na viunga vingine vya wilaya ya Rungwe wametoka mbali kiasi gani kuzidi yeye aliyetoka same mashariki? Hii ni aibu ya ccm"Upo sawa kabisa ninavyomuona huyu mama hana busara pia ni mlopokaji always amekua mtetea masilahi ya chama badala ya Taifa ni kama wale WACHUNGAJI MISHAHARA ambaa wanamkili kristo mdomoni lakini miyoni mwao hayupo nasi tunamuomba atujibu kutoka same mashariki hadi kiwira amefata nn? huyu ni sawa na wanafiki kama Sedeka, TBC na Clouds FM kwanai hawajui walitendalo. cha msingi ni kuwaombea 2 ili ujinga walionao kichwani kwao uwatoke.CDM NGUVU YA UMMA,CDM NGUVU YA MABADILIKO.