Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
Mti wenye matunda huo
Kumuombea asiyeombeleka ni matumizi mabaya ya wakatiSisi tuendelee kumuombea, baba ni baba hata aweje ndio wetu huyo! Tulijichanganya 2015....
Sent using Jamii Forums mobile app
Bukkedde(kumekucha) inatangaza kwa lugha ya Kiganda. Wanalo gazeti lao na Television pia. Vipi ndugu yangu Kiganda kinapanda?**** Redio moja Uganda inaitwa Bukedde FM ..aisee juzi walikua wanauliza kua kwanini JPM amekataa kuchukua tahadhali muhimu.Na mwisho akasema kua je,wataendelea kumsifia kama walivyokua wanamsifia zamani? Nilisikiliza kupitia App ya Radio Garden...aisee
Kweli mkuu.Sisi tuendelee kumuombea, baba ni baba hata aweje ndio wetu huyo! Tulijichanganya 2015....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tatizo gani kukijua Kiganda...sebbo wange?Bukk
Bukkedde(kumekucha) inatangaza kwa lugha ya Kiganda. Wanalo gazeti lao na Television pia. Vipi ndugu yangu Kiganda kinapanda?
Matunda kunigwa unayajua?"Mti wenye matunda........"
Hakuna shida kabisa mkuu wangu, nakumbuka hata Mwl. Nyerere aliwahi kukisifia kua ni miongoni mwa lugha nzuri sana za kiafrikaKuna tatizo gani kukijua Kiganda...sebbo wange?
Ata JPM anakijua vizuri Kirundi...Hakuna shida kabisa mkuu wangu, nakumbuka hata Mwl. Nyerere aliwahi kukisifia kua ni miongoni mwa lugha nzuri sana za kiafrika
Hivi kuna lugha ya Kirundi? Watutsi na Wahutu wanatumia lugha tofauti? Wanyarwanda nao je? Najiuliza kila siku haya maswali sijapata ufumbuziAta JPM anakijua vizuri Kirundi...
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Wajameni,Hawa many'angau ndio zao!, kila sio wao ni negativity na rais wetu, something which is not good kwenye ujirani mwema, good neighbourhood njema.
P
Na wewe wabunge wako unawafananisha na nani?Sasa hiyo ni dhihaka kwa Magufuli?
Wakenya waliwahi kubeba nguruwe wakaenda kuwaachia bungeni wakifananisha wabunge wao na nguruwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kibwagizo kimeanza kusikika kwa radio hii ya Kenya iki-quote baadhi ya maneno yaliopo katika hotuba ya Rais wa Tanzania juzi mwisho wa kibwagizo hicho anaongea mtangazaji maneno yasemayo 'sisi wanasiasa ni kama shetani
Awamu hii Rais wetu anadhihakiwa sana nje ya mipaka yetu sijui kwanini
Nasikia jumatatu kuna uteuzi unatangaza,kaa kalibu na luninga utasikia umepata uteuzi,Hawa many'angau ndio zao!, kila sio wao ni negativity na rais wetu, something which is not good kwenye ujirani mwema, good neighbourhood njema.
P
Kuandika tu hujui, pole!Nasikia jumatatu kuna uteuzi unatangaza,kaa kalibu na luninga utasikia umepata uteuzi,
Nawaza kwanini rais wetu haongei na uhuru kumwambia awaonye hao wanaomdhihakiHawa many'angau ndio zao!, kila siku wao ni negativity na rais wetu, something which is not good kwenye ujirani mwema, good neighbourhood njema.
P
Matunda kunigwa unayajua?