duh, kumbe wanajua kufanya kazi yao. ama kweli UKITAKA KUJUA NGUVU YA MLEVI, MWAGA POMBE YAKE!!!
Barlow alipata alichonunua. Wamezidi kutumia vyeo vibaya. Huu ni ushahidi kuwa wakubwa wetu ni wazinzi watupu kuanzia juu hadi chini. Heri wote wanaojihusisha kwenye mchezo huu yangewapata yalimpata Barlow. Ujinga na ulimbukeni mtupu. RIH Barlow. Siwezi kusema RIP wakati kifo chenyewe kimetokea kwenye mazingira ya kishetani. Napata kinyaa nikiona viongozi wa kidini eti wakiwaombea mapumziko mema peponi.
Jamaa anaonekana kama washamvuruga akili kwa jinsi anavyomwaga taarifa hewani!
Kumbe polisi wetu wanaweza kufanya kazi yao. Mbona kesi ya Dr. Ulimboka imeachwa inaning'inia?
Chezea ile perfume !!! Ukipuliziwa utasema siri zako zote ikiwa ni pamoja na yule mke wa rafiki yako uliyekuwa naye pale Guest Bubu !!!
Truth serum au Lie detector.....
Jamaa mmoja anaitwa Mganyizi, ITV imebainisha tukio zima akifukua choo kuchomoa simu na Radio call. Kaeleza mbele ya umma kuwa yeye ndie alieenda na mwenzie kutupa hivyo vitu kwenye tundu la choo baada ya kutakiwa kufanya hivyo na kiongozi wao. Jamaa anaonekana kama washamvuruga akili kwa jinsi anavyomwaga taarifa hewani!
hahahahaha nimeipenda hii, kumbe kuna kufa sana na kufa kidogo duh
natamani pia kumjua! Ukute ameshare mtwangio na wake za wakubwa wengi huko juu!kwani picha ya mwalimu doroth imeshindikana kabisa kupatikana?
Barlow alipata alichonunua. Wamezidi kutumia vyeo vibaya. Huu ni ushahidi kuwa wakubwa wetu ni wazinzi watupu kuanzia juu hadi chini. Heri wote wanaojihusisha kwenye mchezo huu yangewapata yalimpata Barlow. Ujinga na ulimbukeni mtupu. RIH Barlow. Siwezi kusema RIP wakati kifo chenyewe kimetokea kwenye mazingira ya kishetani. Napata kinyaa nikiona viongozi wa kidini eti wakiwaombea mapumziko mema peponi.
.......
Mwana Mpotevu Jamani baada ya kutuwekea picha feki ya mwalim Doroth basi upepo umepita hivi2 tunaomba picha halisi ili tuendelee
na uchunguzi pleaseeeeeeeee!!!!.....
Hata kama alikuwa kwenye uzinzi si dhani kama anastahili kufanyiwa hayo. Kila mmoja ajioji mwenyewe, hakuwai kufanya uzinzi? kama ndivyo anastahili Kifo? Tumwombe Mungu daima tuenende katika haki. RIP Barlow
Kumbe polisi wetu wanaweza kufanya kazi yao. Mbona kesi ya Dr. Ulimboka imeachwa inaning'inia?