Kamanda ameshajiondokea na maovu yake.Fanyeni yote,hasafishiki.Hatorudi tena,kamateni mpaka kima na tumbili.Barlow hakuwa msafi,kazi alifanya kwa mabavu,ujasiri wenye unafiki.
Ni sawa na kumtekenya NG'OMBE halafu uncheka mwenyewe!! Sababu Ng'ombe hajui KUCHEKA!!hiyo ni sawa na :violin: mbuzi ili acheze