Safi kondoa nuksi na kuleta baraka ,baada ya idd nitakuwa Mguu wa Zuberi kuandaa matanuri ya mkaa ,vijana ndiyo wanapanga magogo.Shukran sana mkuu Kwa ukaribisho.
Nataka ramadhani hii niende pale mbuyu wa mjerumani kutoa nuksi za hapa na pale.
Jambo zuri sana. Nami mniandalie mkaa nirudie nao huku Babati.Safi kondoa nuksi na kuleta baraka ,baada ya idd nitakuwa Mguu wa Zuberi kuandaa matanuri ya mkaa ,vijana ndiyo wanapanga magogo.
Sawa Sawa Mkuu....Utamsalimia tajiri Mulokozi.Jambo zuri sana. Nami mniandalie mkaa nirudie nao huku Babati.
kabla ya kukosoa uandishi wa mwenzio, inabidi kwanza urejee uandishi wako.Mtoa mada jifunze kuanduka,tumlejee ndo nini??.
Mchana wa Leo tulikuwa tunapombeka wote pale kwake. Kwa hiyo salamu yako itamfikia.Sawa Sawa Mkuu....Utamsalimia tajiri Mulokozi.
Namihoro karibu sanaHuko Peramiho kule mjini sana kunaitwaje?
Nachoona huu ukanda wa pwani hauna mvua zenye radi au za mawe ndo maanaRadi ya kawaida mbona? Mimi niliiona. Watu wa dar mnadeka sana, hamjaona radi za Geita.