100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Ile ni AI ya matusi..
kwani anatukana matusi ya nguoni?Huyu siwezi fungua video zake kabisa mbele ya watu au watoto.
naambiwa kuna binti kaibuka mwingine anatukana balaa, yule wa mwanzo ni cha mtoto akasome kwa huyo! Hebu nimtafute nione matusi anayotukana!Sijawahi kumfungua kwenye simu yangu na sintafanya hivyo maana anatukana sijawahi kuona aisee mara ya kwanza nilijua wahuni wametengeneza kumbe mtu yupo na anadunda zake huko kwa watu wenye macho madogo..
Mandengeleko wa KisijuHivi ni mtanzania huyu dada? Mbona kiswahili chake hakijanyooka na ana struggle kutamka hata majina rahisi kama Nchimbi? Halafu kwenye kuandika nako ni mtihani itakuwa kweli kasoma hizi kayumba zetu mpaka la saba? Maana najua watu wa la saba tunaandika sentence zinaeleweka vizuri, ila huyu kuna ka utata.
Kwaiyo mjadala ndo umeishia hapo kwenye vitaco au? 😂😂
Yaaani anamtukana Samia K lake linadinywa na Kikwete. YAANI ANA MATUSI MAKUBWA MNO. Itakuwa anavuta bangi huyu binti.kwani anatukana matusi ya nguoni?
Nahisi ni project wa MsogaKuna supu ya mawe
Kuna supu ya kenge
Kuna supu ya umbwa! Hii mchuzi wake hunywewa wa moto
Tanga kuna mahali panaitwa mabanda ya papa! Shughuli yake inajulikana wazi
Sasa chukua papa(sio kipapa😋) chukua nguru kisha chukua kamongo weka pamoja! Nguru ataibuka kidedea
Yuko mstari wa mbele sana kwenye amsha amsha ya siasa za sasa za mtandaoni za Tanganyika! Ila style yake ndio kiboko!
Ana mdomo mchafu ashakum anasubiri.. Ila nadhani ndio lugha wanayoendana nayo..Maana ustaarabu ulishawashinda kitambo..
Je Rachel ni 100% Gen Z fighter ama ni project ndani ya mfumo iliyoamua kupambana na yasiyopendeza?
Anapotoa yake hana simile wala mswalie Mtume.. Lakini msikilize kwa makini katikati ya maneno yake. Ana vitu ambavyo havikanushiki!
Supu ya pweza ni tamu na inanyweka hadharani ila usijaribu supu ya nguru. Watakukimbia wote! Rachel kama sio project basi ana vitu vya kipekee sana kama supu ya nguru😀
duh! Hiyo kali!Yaaani anamtukana Samia K lake linadinywa na Kikwete. YAANI ANA MATUSI MAKUBWA MNO. Itakuwa anavuta bangi huyu binti.
Umesahau kavideo aha ah 😅 😂 🤣Kuna supu ya mawe
Kuna supu ya kenge
Kuna supu ya umbwa! Hii mchuzi wake hunywewa wa moto
Tanga kuna mahali panaitwa mabanda ya papa! Shughuli yake inajulikana wazi
Sasa chukua papa(sio kipapa😋) chukua nguru kisha chukua kamongo weka pamoja! Nguru ataibuka kidedea
Yuko mstari wa mbele sana kwenye amsha amsha ya siasa za sasa za mtandaoni za Tanganyika! Ila style yake ndio kiboko!
Ana mdomo mchafu ashakum anasubiri.. Ila nadhani ndio lugha wanayoendana nayo..Maana ustaarabu ulishawashinda kitambo..
Je Rachel ni 100% Gen Z fighter ama ni project ndani ya mfumo iliyoamua kupambana na yasiyopendeza?
Anapotoa yake hana simile wala mswalie Mtume.. Lakini msikilize kwa makini katikati ya maneno yake. Ana vitu ambavyo havikanushiki!
Supu ya pweza ni tamu na inanyweka hadharani ila usijaribu supu ya nguru. Watakukimbia wote! Rachel kama sio project basi ana vitu vya kipekee sana kama supu ya nguru😀
Dhana ya uhuru wa mwandishi?Hahahaha