Mtumeee! Tumekatazwa…😃Vterco
Wewe mzee kavu sana ujue daah nimecheka kifala sana hapa...
Hii iko sawaSijawahi kumfungua kwenye simu yangu na sintafanya hivyo maana anatukana sijawahi kuona aisee mara ya kwanza nilijua wahuni wametengeneza kumbe mtu yupo na anadunda zake huko kwa watu wenye macho madogo..
Siwezi kumsikiliza uwasilishaji wake una matusi sana.
Kasemaje kuhusu tetesi ya daslm hiyo huwa sifungui mazee maeneo nayokuwepo sio ya kumsikiliza huyu bidada..
Huyo mjusi wamemtia mikwaju mpaka katoka kibinda?Supu ya pweza ni tamu na inanyweka hadharani ila usijaribu supu ya nguru. Watakukimbia wote! Rachel kama sio project basi ana vitu vya kipekee sana kama supu ya nguru😀
Soma jina lake utaelewa jambo anaitwa nani?Hivi ni mtanzania huyu dada? Mbona kiswahili chake hakijanyooka na ana struggle kutamka hata majina rahisi kama Nchimbi? Halafu kwenye kuandika nako ni mtihani itakuwa kweli kasoma hizi kayumba zetu mpaka la saba? Maana najua watu wa la saba tunaandika sentence zinaeleweka vizuri, ila huyu kuna ka utata.
Hahaha inzi wakamjalia1st time mzee wangu kuona video ya uyo bdada alipata aibu sana nakumbuka ilikua kwenye msiba kama ujuavyo sikuiz kwenye misiba na sherehe watu hukaa vkundi na wengine hupeluz mtandaoo.Bas bana ile anafungua tu akakutana na nzito asee watu wote macho kwake
HahahaYule dada ukikutana na clip yake lazma ugeuke huko na huko ,upunguze sauti ndo uicheze😂