Rachel Dangwa ni supu ya nguru

Rachel Dangwa ni supu ya nguru

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,568
Kuna supu ya mawe
Kuna supu ya kenge
Kuna supu ya umbwa! Hii mchuzi wake hunywewa wa moto


Tanga kuna mahali panaitwa mabanda ya papa! Shughuli yake inajulikana wazi
Sasa chukua papa(sio kipapašŸ˜‹) chukua nguru kisha chukua kamongo weka pamoja! Nguru ataibuka kidedea

Yuko mstari wa mbele sana kwenye amsha amsha ya siasa za sasa za mtandaoni za Tanganyika! Ila style yake ndio kiboko!

Ana mdomo mchafu ashakum anasubiri.. Ila nadhani ndio lugha wanayoendana nayo..Maana ustaarabu ulishawashinda kitambo..

Je Rachel ni 100% Gen Z fighter ama ni project ndani ya mfumo iliyoamua kupambana na yasiyopendeza?

Anapotoa yake hana simile wala mswalie Mtume.. Lakini msikilize kwa makini katikati ya maneno yake. Ana vitu ambavyo havikanushiki!

Supu ya pweza ni tamu na inanyweka hadharani ila usijaribu supu ya nguru. Watakukimbia wote! Rachel kama sio project basi ana vitu vya kipekee sana kama supu ya ngurušŸ˜€
1772638816456.jpg
 
1st time mzee wangu kuona video ya uyo bdada alipata aibu sana nakumbuka ilikua kwenye msiba kama ujuavyo sikuiz kwenye misiba na sherehe watu hukaa vkundi na wengine hupeluz mtandaoo.Bas bana ile anafungua tu akakutana na nzito asee watu wote macho kwake
 
1st time mzee wangu kuona video ya uyo bdada alipata aibu sana nakumbuka ilikua kwenye msiba kama ujuavyo sikuiz kwenye misiba na sherehe watu hukaa vkundi na wengine hupeluz mtandaoo.Bas bana ile anafungua tu akakutana na nzito asee watu wote macho kwake
Hahahaha🤣
 
Back
Top Bottom