R.Mengi for President?

Status
Not open for further replies.
Hapa hatuangalii suala la UZINZI pekee; Private life ya mtu ina mambo mengi yakiwemo kwa uchache amesoma nini na kwa kiwango gani; utajiri/umasikini wake ameupataje; udini au ukabila wake ni wa kiwango gani; anakamata vipi hasira, chuki, husda, wivu vinapomvaa; anapenda kwa kiwango gani nafsi yake, watu wengine (hasa wenye mawazo na misimamo huru). Vipi katika kutafuta MALI ana simile kidogo? anapenda kuambiwa yale tu anayotaka kuyasikia? n.k...Sisemi yupo aliyekamilika kwa yote haya ila kwa viwango vinavyoridhisha kidogo.
 
Hapa hatuangalii suala la UZINZI pekee; Private life ya mtu ina mambo mengi yakiwemo kwa uchache amesoma nini na kwa kiwango gani; utajiri/umasikini wake ameupataje; udini au ukabila wake ni wa kiwango gani; anakamata vipi hasira, chuki, husda, wivu vinapomvaa; anapenda kwa kiwango gani nafsi yake, watu wengine (hasa wenye mawazo na misimamo huru). Vipi katika kutafuta MALI ana simile kidogo? anapenda kuambiwa yale tu anayotaka kuyasikia? n.k...Sisemi yupo aliyekamilika kwa yote haya ila kwa viwango vinavyoridhisha kidogo.

Mkuu,

Mimi nafikiri tungeangalia hivyo vingine ingekuwa vizuri zaidi kwani hivyo ndo vinaaffect zaidi uongozi wa mtu kuliko uzinzi. Binafsi katika vigezo vingine zaidi ya uzinzi nafikiri vinafaa kuangaliwa kwa umakini kwani ndo vitadetermine aina ya kiongozi tunayetaka kumchagua.
 
Nashindwa nikwambie vipi nalenga lakini kifupi personal life ya mtu ukiingilia masuala ya kifamilia ni tatizo (kwangu) kwakuwa masuala haya nimegundua ni asilimia kubwa sana ya viongozi wachafu kwa upande huu. Kama mali alizo nazo Mengi ni za wizi, hapo naweza kukuelewa.

Labda kwa kuongezea tu hapa Max, ni kuwa hakuna consensus katika definition ya uchafu inapokuja kwenye maswala binafsi. Tafsiri nyingi zimejengwa katika misingi ya imani za dini ambazo, bahati mbaya au nzuri, sio lazima kila mtu azifuate! Sasa ukisema alitembea nje ya ndoa, nani amesema kwamba huu ni uchafu kwa kila mtu? Hii ni kosa kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kikristo na kiislamu, lakini nani amesema kwamba kila mtu anakubaliana na mafundisho ya dini hizi?

Binafsi uchafu wa kiongozi nauangalia katika athari zake katika jamii. Watu wanaotuibia hela za walipa kodi wanatuathiri sote kama jamii kwa sababu wanafanya elimu yetu idorore, hospitali zetu ziwe dhaifu, tushindwe kutengeneza barabara, etc. Sasa hili la mtu kuwa na wake wawili linatuathiri vipi sisi kama jamii?

Bado nasema kuwa Mengi, ana sifa nyingi mno za kumfanya awe kiongozi wetu kuliko watanzania wengi sana kama akiamua. In fact, kwa hapa tulipofikia, ambapo viongozi wamebadilisha madaraka ya kisiasa kuwa ndio njia pekee ya kupata maisha na utajiri, Mengi anatufaa zaidi maana yeye huko alishapita. Watu wengine hawajui chochote katika maisha zaidi ya siasa, wakiacha siasa ndio mwisho wao. Hawa ndio wanaotutafuna maana wanaogopa wakitoka huko wataenda wapi.

Kosa lingine tunalofanya ni kumfananisha Mengi na wafanyabiashara wengine hasa wa kiasia. Tunakosea. Wengi wa wafanyabiashara wa kiasia wameupata utajiri wao kwa njia za ujanjaujanja kwa kusaidiwa na kushirikiana na wanasiasa ndani ya chama cha wenye kuendesha siasa kwa ujanjaujanja (mnakijua). Wengi wa wafanyabiashara hawa wasingefika hapo walipo na wala hawana uwezo wa ku-sustain biashara zao bila connections na watawala. Kwa kifupi hawa ni mirija ya kuiba pesa za walipa kodi. Kwa waliosomasoma kidogo jinsi Mengi alivyopata utajiri wake wanajua alivyosota kuanzia kwenye vibiashara vya umajinga hadi hapo alipofika.

Mengi has shown and proved beyond any reasonable doubt that he is a man of convictions, commitment, seriousness and didication-and these are the true qualities in a leader, which, sadly, have become a paucity in our present leadership.
 
Anayetaka urais aseme mwenyewe!!! ili sisi tumjadili!! Hizi habari za kupendekeza watu, ndio tunaishia hukohuko kwa akija JK et al!!!

Sasa wewe unapingana na theories zote za kiongozi bora kuanzia kwa akina Socrates. Wanafalsafa wote wanaamini kwamba kiongozi bora huibuliwa na wala hajiibui!!. Inawezekana mtu hajijui kwamba ana uwezo kiasi gani hadi aambiwe. Hili ni jambo la kawaida hata katika maisha ya kawaida, kuna kipindi unafikiri wewe hufai au ni kilaza kabisa hadi wenzako wakwambie eeh bwana wewe unaweza. Na kuna watu wanatabia ya kujikakamua kishenzi lakini ukweli ni kwamba hawana chochote zaidi ya kelele nyingi tu! So, hakuna formula wala sio lazima Mengi ajitokeze mwenyewe.
 
Nani atuwekee CV kali ya Mzee wetu Mengi ili angalau tumjue angalau kidogo mtu tunayemjadili hapa. Nakumbuka kuna mtu alituwekea CV nzuri sana ya SAS.
 
Reginald Abraham Mengi, a Tanzanian industrialist and media tycoon, is the founder and Executive Chairman of IPP Group, one of East Africa's largest privately owned companies, based in Dar es Salaam, Tanzania.

Early life
A chartered accountant by training, Reginald Mengi created the IPP business conglomerate in the mid 1980s after serving as Chairman and Managing Partner of Coopers & Lybrand in Tanzania.

IPP GROUP
The IPP Group, which started as a small scale hand operated ball point assembly plant in Dar es Salaam, has expanded and diversified to become one of the largest industrial groups in East Africa. Among other activities, it encompasses a Financial Consulting firm (IPP Consulting), a soft drinks bottling company in joint venture with Coca-Cola (Coca-Cola Kwanza, Bonite Bottlers and Kilimanjaro Spring Water), Tanzania's leading manufacturer of soaps, detergents and toothpaste (IPP Bodycare Ltd), as well as a media unit which is made up of eleven newspapers, three radio stations and two television channels, one which operates in Tanzania, Kenya and Uganda (IPP Media). These include The Guardian Ltd., which publishes some of Tanzania's leading weekly and Sunday newspapers: The Guardian, The Sunday Observer, The Daily Mail, and the Financial Times in English and Nipashe, Nipashe Jumapili, Alasiri, Kasheshe, and Taifa Letu in Kiswahili, Independent Television Ltd. (ITV), East Africa Television (EATV, formerly Channel 5)), Radio ONE, Sky-FM (in a joint venture with BBC) and East Africa Radio.

His long experience and success in doing business in Africa has taken him to participate in a large number of national and international business as well as taking an active interest in private sector development. To this effect, he has been a long-time advocate of promoting good governance in Africa as well as enhancing technical and managerial skills in the private sector, as key mechanisms for improving the business environment and attracting foreign direct investment to the continent. However, as a leading media tycoon, he has also called on the African press not to follow the international media's inclination to portray only the negative aspects and constraints of doing business in Africa, since these only reinforce certain stereotypes, overshadow the business opportunities that exist in the continent and has a detrimental effect on potential foreign investors.

As a leading member of the business community Reginald Mengi has served as Chairman of Tanzania's National Board of Business Accountants and Auditors, of Tanzania's Chapter of the International Chamber of Commerce (ICC), and of the Tanzanian Chapter of the Commonwealth Press Union (PCU). He has also participated in several fora organised under the New Partnership for Africa's Development (NEPAD), met with various African and Latin American leaders and is a member of the Board of Management of the Commonwealth Business Council (CBC).

PERSONAL LIFE
In addition to his interests in business and industry, Reginald Mengi has been involved in a number of charities and other social activities, especially in the areas of health, environmental management and poverty alleviation. He has been a leading advocate of involving the private sector in the prevention and treatment of HIV/AIDS, and was appointed member of Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). During his term as a commissioner of TACAIDS, he sparked a nationwide debate over the use and distribution of condoms, giving him the nickname of "Mr. Condom" and putting him in confrontation with Christian and Muslim leaders, after criticising them for their position against the use of condoms as a central instrument in the fight against the propagation of HIV/AIDS.

In relation to his interests in environmental issues, he is Chairman of the National Environment Management Council ](NEMC), the Poverty Alleviation and Environmental Committee (PAEC), patron of the LEAD Global Environmental Network in Tanzania and treasurer of Leadership for Environment and Development (LEAD) international. This non-governmental, non-profit organisation established in 1991 by the Rockefeller Foundation, is committed to sustainable development and provides training for selected mid-career professionals from a variety of sectors in society. He has also been an important sponsor and benefactor of the Kilimanjaro Forestation Campaign and of several projects for youth employment and disabled people. Most recently, Reginald Mengi has began building The Rodney Mutie Mengi Heart Institute in memory of his son who passed away on October 6, 2005 from heart complications. In the meantime he has begun sponsoring children in Tanzania with heart problems to travel abroad for treatment.

In recognition to his work, leadership and contributions in a wide range of business and social activities Reginald Mengi has been awarded the Order of the United Republic of Tanzania, the Order of the Arusha Declaration of the First Class for his exemplary contribution to Tanzania's Development, The East African Environment Leadership Award, and the Environmentalist of the Century Award 2000 in the Kilimanjaro region.

Mengi also holds the following positions:

Chairman of the National Environment Management Council (NEMC) of Tanzania.
Commissioner of Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS).
Chairman of the Confederation of Tanzania Industries (CTI).
Investment Committee Chairman of the National Investments Company Limited (NICO).
Mengi has been on the front line in initiating several projects for the disfranchised Tanzania youth. Many believed he would run for presidency as an independent candidate, however he did not and threw his weight behind Jakaya Mrisho Kikwete of CCM who won by a land slide margin.

Other facts

Mengi was twice nominated the second most respected Chief Executive Officer in East Africa by PricewaterhouseCoopers (in 2001 and 2002).
Mengi is originally from Machame, in the Kilimanjaro Region.
Retrieved from "http://en.wikipedia.org/wiki/Reginald_Mengi"
 
Wakuu tumejadili sana kuhusu watu wenye kufaa kutuongoza wakati huu mgumu si tu nchini mwetu..Bali Barani mwetu Afrika na Duniani kwa ujumla!
Kuna Candidates wengi tu ambao wametajwa!
Is it right to mention R.Mengi for President?

Mkuu,

Mimi sikubaliani kabisa na wazo lako la kumpendekeza Mengi awe mgombea uraisi.

Mengi ana haki ya kikatiba kufanya hivo utakavyo lakini ni bora aendelee kuwa mfanyabiashara tu.

Lakini hata akijitokeza mwenyewe na kutamka bayana kwamba anatamani agombee nafasi hio itabidi ajibu baadhi ya maswali ambayo ni muhimu kwa mtu kama yeye.

Je alipata wapi pesa za kuanzisha biashara yake na ku-create empire aliyo nayo leo hii, je ni NBC, BOT au wapi na amerudisha vipi pesa hizo?

Je analipa kodi kiasi gani kwa mwaka?

Je ataongoza chama gani au atataka kuwa mgombea binafsi ambapo mpaka sasa hakuna nafasi hio?

Bila kujibu hayo mimi bado ntamwona bwana Mengi kwamba ni "successful businessman".
 
From a ball point assembly plant to a media tycoon/Industrialist in less than a decade!
 
Kwa maoni yangu, Mengi, kwa hapa hana wengi wa kumsupport, ni bora kama ataiangalia forum hii basi apate picha. HAWEZI KUVUTA MAKUNDI KUAJ KUMSIKILIZA, Lakini ukipoteza muda tu, utamjua kuwa anaipenda Tanzania. Ndiyo tunashukuru ni mtanzania bepari, anainvest asilimia kubwa hapa Tanzania, tunashukuru, anaheshimika sana na watu anaokutana nao.
Anajitahidi kuheshimu kazi yake.
Mengi anainvest kwa vijana.
Mengi anazo personal issues kweye familia yake, kama watu wengine wote, kwa tanzania sio kigezo, manake viongozi wetu inabidi wakukumbushwe wake kwa ajili ya public image. ni Mwinyi tu ndio alikuwa mstaarabu.
Mengi amepata mapigo makubwa mbayo yamempa mwelekeo mpya
Je mengi hafai kwa sababu ni mchaga? Wabaguzi ndio nyie.
Hivi mtu akiwa mchaga munamuonaje? i hate this.
Mnasema wachaga ndio wana ukabila wakati msio wachaga ndio mnairaise issue ya ukabila kila mara.
Kwa uhakika wachaga ni proud ppl and you cant do anything abt it. But we do not preach hate.
Kuhusu media, nadhani umetoka tanzania siku nyingi, sasa kuna chanel kama 9 mengi ana mbili tu, tena sio the most watched anymore. Magazeti anayo lakini pia sio the most circulated ones.
Back to the point.
Kwa kuhitimisha, mengi labda agombee kama mgombea binafsi, ni mtu ambaye hawezi kuchukua pande tena CCM au upinzani, kote ana maadui wenye nguvu. Hajui kuficha ficha, wala kuzungusha maneno. too straight for an african politician.
 
Swali letu la leo la kipima joto, JE UNADHANI R. MENGI ANAFAA KUWA RAIS? OH PULIIZ GIV ME A BREAK!
 
Reginald Mengi is a pawn of outside industrialists. Wherever he builds a factory the streams have all become massively polluted. e.g. Since Coca Cola started selling Tanzania water to Tanzanians, water connections to houses have decreased, plastic bottles and bags are clogging the streams. e.g. he used to talk about all the trees he planted. Where are they? He can't show you.

Look at the overall deeds, not the words we are fed through his media, or the glossy minor actions that are accomplished with others' money.
 
Kitila, mimi nadhani kwa sababu kazi ya urais wa nchi ni kubwa sana, ni lazima mtu ajipima na labda awe alijiandaa kwa muda, akiwa anamambo ambayo kweli anasema ningekuwa rais ningeifanyia nchi yangu. Lakini kama mtu akishtuliwa tu, anaweza baadaye akawauliza mlioniomba nigombee urais mlitaka nifanye nini! Huu ni mtazamo wangu. Lakini, sipingani na hao ma-classicals kuhusu namna ya kumpata kiongozi. Nadhani approach zote mbili zina pande zote mbili za shilingi (strengths and weakness).

Kwa wanaodai Mengi kapata mali kwa muda mfupi kwa hiyo lazima kaiba (kafanya ufisadi) hilo mimi siliafiki sana. Lazima tukubali kuwa Tanzania bado pana a lot of potential kwa watu wenye mawazo ya biashara (wajasiliamali - si kama Mkapa!). Mpaka leo bado inawezekana kabisa Tanzania mtu akazaliwa maskini lakini akafa tajiri kwa njia halali tu! Ndio maana wakenya wanamiminika kwetu!! Tulio wengi hatuoni kuwa tumekalia gold! Ndio kusema, tunatumia miche ya dhahabu kama mafiga ya jikoni bila kujua!!! Ni nchi chache ambazo watu toka familia fukara wanaishia matajiri!! Kama isingekuwa huu ufisadi ambao ndio unaingia kwa kasi sasa nchi yetu bado ilikuwa very promising kwa kila mtu mwenye kujishughulisha!

Mimi nadhani kama kuna mtu ana ushahidi juu ya uchafu wa Mengi auseme, lakini si kusema kwa jinsi alivyo lazima atakuwa fisadi!! Tutakuwa hatutendi haki, lazima tujifunze kuwa objective - hata kama humpendi mtu mtendee haki kwa kadri ambavyo wewe ungependa watu wakutendee. Usingependa watu wakunyooshee kidole au kukudoubt bila sababu! Mengi is a preseident material kabisa!
 
Kwa wale wote wanasema kuwa hawana kipingamizi cha Mengi kugombea urais: jee, ni namna gani Bepari aliyekubuhu kama Mengi angefanikiwa ku-resolve conflict of interest iliyo wazi kama angepatiwa dhamana ya Urais (kama kiongozi mwenye mamlaka na majukumu makubwa juu ya Jamhuri na Wananchi wake) kwa upande mmoja, na ile ya Bepari, CEO na mfanyabishara, mmiliki wa makampuni makubwa ya kibiashara, magazeti kadhaa yenye influence kubwa nchini na stesheni kubwa za radio na luninga?

How could Mengi possibly reconcile his widely diverging roles of President of the Republic and accomplished businessman and media baron at the same time? For its safe to assume Mengi won't quit running his business conglomerate if he ever gets elected as President of Tanzania.
 
Sasa kama Mengi tunataka awe rais,ni kwa uwezo wake upi? Kwamba yeye ni philanthropist au mfanyabiashara mkubwa? Kama ni biashara,tunajua kwamba in this country they never make good leaders,mfano Iddi Simba,Karamagi,Diallo.....Kwa Mengi na Slaa kusema kuwa TAnzania ni tajiri,ni rahisi sana,kwa sababu wao hawako kwenye position ya kuwaonyesha Watanzania huo ni utajiri uko wapi,raisi ni lazima awe realistic,na kwake yeye Tanzania ni nchi ya nne maskini duniani,cant blame him for that.He has to say what facts show.Mengi is a good man,lakini kumtaka kuwa rais nafikiri ni hatua kidogo kubwa sana.Tukumbuke moja kati ya magomvi yake na Mkapa ilikuwa ni kukosa support alipotaka kugombea u meya wa dar.
Kuna tatizo ambalo mimi naliona sasa hivi,nalo ni kwamba watu wengi wanaopinga ufisadi,au wanaojitokeza kupigana na ufisadi,wana sababu zao wenyewe kinyume na wanavyotaka watu kuelewa.Ukianzia tokea ile email termed here as "Good Stuff".Yule alikuwa ni Ladwa kwa sababu alikosa pesa kutoka BoT,ambako alikuwa amevuta sana huko nyuma.Mengi ana ugomvi na wakina Rostam Aziz,nasikia yeye Mengi ndio initially aliwaleta Vodacom hapa,lakini wakina Rostam wakampokonya,how? I dont know.Kama MEngi ni mjanja,yeye aachane na siasa.Mwenzake Karamagi yalimkuta,kajitajirisha sana akaona haitoshi akajitosa kwenye siasa,sasa hata hao TICTS wamemtema.He is doing well where he is,he should just stick to that
 
Kwanini Mengi na siwe Mwanakijiji??

Tayari kuna mawazo hapa ambayo siku zote nyapinga,yamejengeka na tayari yameshawaathiri watanzania,kwamba hauwezi kuwa kiongozi mpaka uwe na pesa na hili lote ndio limezaa ufisadi..Now you need a substite?


suala la pili ambalo ni muhimu,kabla ya kuruhsu hawa wagombea Binafsi tunahitaji kuunganisha vyama vya upinzani ili viwe na nguvu kwanza kabla ya mambo mengine.


Madhara ya Wagombea Binafsi ni mengi,kwanza mtu anaweza kuamka na sera yake,na kuamua kutuingizia hata kwa mambo yasiyofaa,ikiwemo hata kuamua tuwe na mahakama ya Kadhi na hakuna mtu wa kupinga.


Kabla ya kukimbilia huko inabidi tuanze na suala la Katiba,katiba ibadilishwe na iwe yenye mrengo unaofaa,pia Act zote ambazo ni mbovu zirekebishwe mathalani majukumu ya vyombo kama PCCB,TISS.

Ni hayo tu
 
Naomba tusiingize mapenzi binafsi ama kuleta upinzani wa kina Bakhressa na Manji.

This right here tunajaribu kuangalia qualifications bila kujali upinzani wa kibiashara ama masuala binafsi ambayo hayana maslahi na Taifa!

Na kama unafikri kuwa Bakhressa anafaa basi anzisha Thread na sisi tutakuja kuchangia na kusikiliza maoni.

Sisi Watanzania tumekuwa na shida moja kubwa ya kutokuangalia issues wakati wa kupiga kura na badala yake tumebakia kukalia politics za chuki, utengano wa kidini na kikabila!

Devide and rule this time is deemed failure!

We are a one Nation under same objectives...UFISADI and Poverty eradication!

And i think this man is the right man to lead us at such a defining moment in the history of our country!

Na pia tusisahau kuwa huyu bwana ana maadui wengi kupita kiasi kutokana na msimamo wake wa kupinga ufisadi na kuwaeleza waziwazi!

Tusisahau hilo na hivyo tuwe makini ili tusije kuangalia chuki peke yake na kusahahu mema!

Hakuna kiongozi utakayenitajia hapa ambaye ni perfect!

Tena wale tuliokuwa tukifikiri ndio perfect happened to be different!


Mbona wewe una "chuki" na CCM? Sababu zako za kuwa na "chuki" na CCM zinaweza kuwa ndio sababu sawa kwa wale walio na "chuki" na Chadema au Mengi.

We are not looking for perfection, we are looking for a hard working honest person. Mengi may be a hard worker, but he is not honest.

Kanuni ya kwanza ya uongozi, be honest!
 
Kwa taarifa yako Mchungaji Methedeos Kilaini aki muendorse then sitasikiliza kauli za mchungaji wewe mwenye chuki!
Naomba uje tu na facts bila rhetorics zenye chuki!
Hizo mwachie Mnyama hatari na wenzake!
Tujaribu kuwa civilized hapa ili kui preserve hishma ya jei efu!

Be realistic for goodness sake for once!

Endorsment ya Kilaini means nothing. Kwanza si Wakatoliki ambao wanapinga sana Talaka na Uasherati? Sasa Askofu alipitiwa vipi kuona kondoo wa bwana sufu yake ina mbung'o na madoa?

Yeye Mengi si anasali pale Azania Front, nenda kaulize waumini wa pale kama huyu ni safi. "Usafi" wake unatokana na pesa zake na si moyo wake!
 
But should we be judging "presidentialness" on the basis of what prosepctive candidates do in their private lives?

Kitila,

In private Mkapa created ANBEN and later aqcuired Kiwira.

In politics, there is no privacy. Culture ya Tanzania tunapenda sana kuona mambo mengine kuwa si muhimu. Nitakuuliza tena, kama alivunja kiapo cha uaminifu kwa mkewe alichofanya madhbahuni, na akaapa kukilinda, itakuwa vipi vigumu kwake kuvunja kiapo atakachoapa mbele ya Jaji Mkuu?

We are looking for honest people, who are devoted to our country and not deceitful.

Labda nikuulize tena, kwa nini Mengi alitaka kutununua na kutufumba mdomo Jambo Forums wakati ule wa kelele za Manji na yeye mpaka Wazee wa Kichaga wakamweka chini Mike?

He is simply not honest and he is corrupt!

Niletee Robert Kisanga, Barnabas Samatta au Geoffrey Mmari we will be on same page.
 
Kwa kifupi nyie mnaopinga bado hamjazi compare sifa za raisi tunayemtaka zaidi ya matusi,chuki,kashfa,udini na ukabila!

Sasa na wakristo nao wakisema hawaamini in poligamy kama waislam mtasema nini?
Nani siyejua kwenye ukristo kuwa na wake wengi ni dhambi?
Mnataka kuzungumzia uchafu?
Tuanze?
Naamini mada halisi itapotea!

UPINZANI BADO HAWAJA NICONVINCE NA CCM NI MAFISADI!
Nualiza tena...Weka sifa ya kiongozi anayetufaa vs sifa za Mengi
Mazuri ya Mengi VS hayo machafu!
Machafu ya viongozi wote waliopita vs machafu yake!
Kazi zake za kizalendo kwenye kumkomboa mtanzania vs kazi ya ufisadi na muflis wa nchi walizofanya viongozi waliopita na current!
Msipo weka chuki kwenye maoni yenu na fikra zenu basi mtaona mengi nje ya chuki!
Kuna wale wenye kugusia UKABILA!
HAYA MAJINA NA MAKABILA YA VIONGOZI WALIOPITA MAFISADI WALIOTUSABABIBISHIA UMASIKINI NAYO YAWEKWE HAPA ILI TUHAKIKISHE HATUTAYAPIGIA MAKABILA YAO KURA TENA?!
TUWACHUKIE WASUKUMA KWASABABU CHENGE FISADI?

AMA WAMASAI KWASABABU YA LOWASAA?

NA MEMA YA MENGI BADO TUYACHUKIE?

Naona kuna watu bado wanaishi kwa ndoto!
Naomba tusiligawe Taifa letu!
Kila mtu ana hakli ya mjadala based on character na si vinginevyo!
Mzalendo huyu anapigwa vita pande zote kutoka CCM na UPINZANI(baadhi)
Ila COALITION ya watu wema anayo!
HILO NI GUARANTEE!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom