R.Mengi for President?

Status
Not open for further replies.
Wewe hujui ni kwanini Mama anapata kura sivyo?

Pia ili tusiende nje ya mada..Then taja sifa za hao viongozi wako vs R.Mengi.
Sifa zinazohitajika kwa rais VS zile alizonazo R.Mengi!
Hapo ndipo nitakapo waweza critics!
Naamini mjadala ndio kwanza unaanza!
Na pia kuna mabadiliko mengi sana ikija kwenye kupima chuki dhidi ya Mengi pale tunapo compare previous times VS the current moment!

Baada ya kuchoshwa na hizi habari za ufisadi ulivyoshimiri nchini,.Nimeona inabidi watu tuwe optimistic (dini ya masikini)kuwa tupo katika transitional period.

Kama ilivyotokea Russia baada ya Yeltsin kuiuza nchi kwa mafisadi akatokea Putin sasa sijui was gift from sir God au vipi....basi na sisi Tanzania kuna mtu ambaye si famous bali ni mtendaji kazi zaidi ya Sokoine anakuja......you can call me psychic or nimepagawa......lakini naamini (ndoto za mnyonge)hivyo.

kama hatuwezi kujipa moyo au kujidanganya basi tufanye kweli.....Mkuu huenda kidogo nimetoka kwenye mada alkini nipo palepale KIONGOZI ANAYETUFAA
 
Baada ya kuchoshwa na hizi habari za ufisadi ulivyoshimiri nchini,.Nimeona inabidi watu tuwe optimistic (dini ya masikini)kuwa tupo katika transitional period.

Kama ilivyotokea Russia baada ya Yeltsin kuiuza nchi kwa mafisadi akatokea Putin sasa sijui was gift from sir God au vipi....basi na sisi Tanzania kuna mtu ambaye si famous bali ni mtendaji kazi zaidi ya Sokoine anakuja......you can call me psychic or nimepagawa......lakini naamini (ndoto za mnyonge)hivyo.

kama hatuwezi kujipa moyo au kujidanganya basi tufanye kweli.....Mkuu huenda kidogo nimetoka kwenye mada alkini nipo palepale KIONGOZI ANAYETUFAA
Maneno ya busara sana haya mwan TANU!
Ni kwasbabu sisi tumezoea ku concetrate kwenye negativity zaidi ya positivity!
Hapo kama kuna wale ambao hawaamini kuwa negative mind inapelekea ufukara si tu wa kimawazo..Bali hata wa kimwili!
Nitakuja na uthibitisho huo wa kisaikolojia kama critics and pundits wakitaka nifanye hivyo!
 
Taabu yetu sisi watanzania ni pale tunapomzulia mtu jambo kama yeye kasema anataka kugombea u press,hii ni hatari sana, mzee wa watu kila kukicha anawafikiria waremavu, wagonjwa na hata kusaidia elimu, leo mmeamua kumkalia kiti moto, si vizuri hata kidogo,
 
Taabu yetu sisi watanzania ni pale tunapomzulia mtu jambo kama yeye kasema anataka kugombea u press,hii ni hatari sana, mzee wa watu kila kukicha anawafikiria waremavu, wagonjwa na hata kusaidia elimu, leo mmeamua kumkalia kiti moto, si vizuri hata kidogo,

Kwi kwi kwi...Kina Slaa na Mbowe wao wameshatangaza?
Other than that.... NO FURTHER COMMENT!
 
isaya.. you are very right... kama angeonesha nia ya kuutaka Urais basi tungekuwa na sababu kubwa ya kumjadili. Kina Mbowe, Salim, na wengine walionesha nia ya kutaka kuwania Urais... unless kama kuna mtu anajaribu kumshawishi kuwania.. otherwise tunaweza kuwa tunapoteza muda muhimu kweli kumjadili mtu ambaye hajawahi kuonesha nia ya kuutaka Urais.
 
isaya.. you are very right... kama angeonesha nia ya kuutaka Urais basi tungekuwa na sababu kubwa ya kumjadili. Kina Mbowe, Salim, na wengine walionesha nia ya kutaka kuwania Urais... unless kama kuna mtu anajaribu kumshawishi kuwania.. otherwise tunaweza kuwa tunapoteza muda muhimu kweli kumjadili mtu ambaye hajawahi kuonesha nia ya kuutaka Urais.

Mwanakijiji unapingana na kauli ulizozitoa muda si mrefu uliopita hapa kuwa wale wanaokimbilia ikulu ni lazima tujiulize!
Sasa tunapokuja na mjina ya wale ambao hawakimbilii ikulu then hawafai kujadiliwa?
I am a litlle confused!
 
Hilo hapo chini si ni wewe umesema?

Nyerere pamoja na mapungufu yake mengi ambayo yamesemwa sana, alijaribu sana kuiheshimu Ikulu. Ni wale waliokuja baada yake ndio wamegeuza nyumba hiyo kuu ya watanzania kuwa genge la biashara na kitovu cha ufisadi.

Hivyo binafsi naogopa kabisa na kutetemeka nikisikia mtu anataka kwenda Ikulu au anataka Urais kwani najiuliza kwanini? Hilo peke yake halinitishi sana lakini inapotokea mtu anatumia mbinde kupata nafasi hiyo basi hofu yangu ya mtu huyo inaongezeka mara 180!

Mtu mwenye akili timamu hatamani kubebesha mzigo huo; mzigo huo atabebeshwa kwa kuombwa na watu wenyewe, hautafuti.

 
Mbona ile mijadala ya kashfa zake mliiacha ikaneemeka na sasa ni mbaya akizungumziwa kama anafaa kutuongoza ama la?
Siasa bana..DUH!
 
Nyama Hatari Kujiita Jmushi Si Lazima Uwe Mchaga Kwanza Toa Ama Rekebisha Kauli Zako.......kwa Taarifa Yako Mushi Ziko Mpaka Kenya Na Dodoma

Pili:swala Wweka Point Zako Kwa Nini Afai Na Wala Si Kujibishana ..

Tatu :::kabla Ya Kuandika Jaribu Kuomba Mungu Akuongoze Kupitia Roho Mtakatifu Ili Usitende Dhambi Zaidi Ya Ulizo Nazo

4))))))jaribu Kuangalia Je Mambo Aliyofanya Yanaafaa Huyu Bwana Kukabidhiwa Nchi..na Kama Sio Eleza Sababu Za Kujaza Wale Wahindi Kule Bungeni Na Kwanini Ukumsikia Mengi Akikimbilia Kule

5))tano'
Muangalie Kwenye Itv Hivi Sasa Ujiulize Kwanini Wanafunzi Wa Nje Na Walimu Wao Kuja Kupata Kile Wanachoitaji Na Kwanini Wasimfwate Bwana Manji Mbunge Wako Mtarajiwa?????????????????

6)))))shame On U

7)))gmorning
 
Afadhali hawa malaika wa bwana waje kutonyesha njia sahihi! Nyama Hatari unaona haya?

Kweli Mungu hawezi kuisahau Tanzania hata kidogo!
This is the time!

Si mnaona wananchi hao?Wazalendo? Kweli hamjui kusoma alama za nyakati!

Ni wakati wa kuwasikiliza la sivyo Taifa letu liko kwenye hali TATA!

Sisi member wa nyuma wa JF tumejisahau tunaendelea na politics zetu za zamani za kichuki chuki!

Hawa member wapya wanatuletea NURU MPYA!

Na wanakaribishwa sana hapa JF bila ya kuwa na woga wa kutukanwa!

Hatutaki waendelee kuwa guests..Tunataka wajiunge na maoni yao yasipuuziwe!

Karibu JF Mwanaizaya! hapa kuna uhuru!
 
Wakuu tumejadili sana kuhusu watu wenye kufaa kutuongoza wakati huu mgumu si tu nchini mwetu..Bali Barani mwetu Afrika na Duniani kwa ujumla!
Kuna Candidates wengi tu ambao wametajwa!
Is it right to mention R.Mengi for President?

..i knew this would come up!

..i've no comment.
 
tuko pamoja,,,wengine tuliisikia baada ya kufungiwa hivyo tunaamini kufunguliwa kwa J NI UFUNGULIW KWA WATANZANIA WOTE AKUNA ALIE JUU YA MAMLAKA
 
Wakuu... Naomba hizi hoja mbili (Kuhusu Mengi na Dr. Slaa kufaa kuwa Pres candidates) nizifunge kwa muda kwakuwa kuna hoja kubwa inakuja na ambayo nadhani itaweza kubadili sura kabisa ya mijadala hii. Naomba msiendelee kujadili hizi hoja mbili kwa sasa hadi mwishoni au hata kabla ya Ijumaa wiki hii wahusika watakapotoa kauli zao ambazo ndizo zitakuwa guidelines za mijadala hii. Natumaini mjadala unaokuja (wiki hii) utaibua maswali mengi na kupanua mijadala hii.

Shukrani,

Invisible
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom