Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
evribadi sei yeeehhInfluence ya hao jamaa ndo inamtoa huyu jamaa kimaishaView attachment 1040305
Sent using Jamii Forums mobile app
evribadi sei yeeehhInfluence ya hao jamaa ndo inamtoa huyu jamaa kimaishaView attachment 1040305
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupigwa ni wale wa mabango " Tunakuunga na Freemasons" ila huyu namfahamu sana.Watu hawachelewi kupigwa hapa...ha ha
Sio lazima uamini ila angalia tshirt alovaa ina ALL SEEN EYE pia angalia alama za vidole usidhani ni pozi tu kila kitu kipo well plannedHahahaa, mawazo ya Kiafrika bana!
Hah hah LIQUID KONK FIRESio lazima uamini ila angalia tshirt alovaa ina ALL SEEN EYE pia angalia alama za vidole usidhani ni pozi tu kila kitu kipo well planned
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaMbona mimi nafrahi kuskia hilo jina R kelly ,na ww umesema hakuna hata mtu anaetaka kuskia hilo jina dunian?
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mhh anapigwa mtu sasa hiviFreemasons wapo, wana influence sana kwenye siasa, dini, uchumi, sanaa na biashara.
Kuna mmoja namfahamu fika maisha yake si kama nilivyomfahamu kabla alikuwa choka mbaya baada ya kujoin brotherhood huko Accra, saivi ana push Range brand new, BMW, Etc.
Aliniambia nijiunge ila kuna fees unatoa around 2000$ kwenye Grand lodge yeyote kama ile ya Posta.
Alinificha mengi na majibu yake ni shortcut.
Baada ya kuwaza mbali niliamua nitulie kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah inasikitisha sana. Ukiona kwenye mahojiano unajua Kelly unamsikia anasema "they want to destroy me". Hivi huwa wanaingia makubaliano gani?? Hivi kwa nini huwa inakuwa vigumu kabisa kabisa kujitoa?? Yaani wanashindwa hata kukimbia nchi? Maana hao jamaa wakiandaa ushahidi wa kutunga inawezekana maana unaweza kukuta ni familia za hao hao ma freemason wanajitokeza kudai watoto wao walitekwa na vitoto vikaambia vikiri then atafungwaMpaka hii leo kuna watu ambao ukiwaeleza habari za freemasons huona tu kama ni hadithi za kufikirika na kwamba hazina uhalisia wowote katika maisha ya kawaida.
Well, kama wewe ni mmoja wa watu wenye imani hiyo nikwambie tu uanze kuifuta dhana hiyo kichwani mwako maana THIS THING IS VERY REAL. Freemasons wapo na wana nguvu na ushawishi mkubwa kwa kila kinachofanyika duniani kwa namna ambavyo huwezi kufikiria. Hawa watu ndio wanacontrol uchumi wa dunia, hawa ndio wanacontrol KILA KITU KINACHOHESHIMIKA DUNIANI kuanzia viongozi wa kisiasa, viongozi wa kidini, wanamichezo na hata wanamuziki wanaoheshimika zaidi duniani.
Issue inayoendele hivi sasa kwa msanii mkubwa sana duniani Robert Kelly aka R.Kelly ni mfano tosha kabisa kwa wale ambao walikuwa na hofu na uwepo wa hawa watu lakini zaidi sana nguvu za hawa jamaa na influence yao.
Je nini kilisababisha R.Kelly kukutwa na yanayomkuta? Hilo nikipata muda nitaliandikia uzi wake lakini kwa leo ningependa tu kukuambia wewe usiyeamini uwepo wa hawa watu umuangalie R.Kelly.
Mtu ambae alifikia mahali akapewa mfalme wa R&B duniani, mtu ambae ana mashabiki mamilioni kwa mamilioni kote duniani, hivi tunavyoongea hakuna hata mtu mmoja duniani anayefurahia kusikia jina R.Kelly masikioni mwake. Nini kimetokea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Matapeli ni watu makini sanaFreemasons wapo, wana influence sana kwenye siasa, dini, uchumi, sanaa na biashara.
Kuna mmoja namfahamu fika maisha yake si kama nilivyomfahamu kabla alikuwa choka mbaya baada ya kujoin brotherhood huko Accra, saivi ana push Range brand new, BMW, Etc.
Aliniambia nijiunge ila kuna fees unatoa around 2000$ kwenye Grand lodge yeyote kama ile ya Posta.
Alinificha mengi na majibu yake ni shortcut.
Baada ya kuwaza mbali niliamua nitulie kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona jibu unalo anatapeli watu 2000$Freemasons wapo, wana influence sana kwenye siasa, dini, uchumi, sanaa na biashara.
Kuna mmoja namfahamu fika maisha yake si kama nilivyomfahamu kabla alikuwa choka mbaya baada ya kujoin brotherhood huko Accra, saivi ana push Range brand new, BMW, Etc.
Aliniambia nijiunge ila kuna fees unatoa around 2000$ kwenye Grand lodge yeyote kama ile ya Posta.
Alinificha mengi na majibu yake ni shortcut.
Baada ya kuwaza mbali niliamua nitulie kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo hamchelewi kuhusisha hata kifo cha Ruge na Firimasoni....
Intelligent people
"hakuna hata mtu mmoja duniani anayefurahia kusikia jina R.Kelly masikioni mwake"Mpaka hii leo kuna watu ambao ukiwaeleza habari za freemasons huona tu kama ni hadithi za kufikirika na kwamba hazina uhalisia wowote katika maisha ya kawaida.
Well, kama wewe ni mmoja wa watu wenye imani hiyo nikwambie tu uanze kuifuta dhana hiyo kichwani mwako maana THIS THING IS VERY REAL. Freemasons wapo na wana nguvu na ushawishi mkubwa kwa kila kinachofanyika duniani kwa namna ambavyo huwezi kufikiria. Hawa watu ndio wanacontrol uchumi wa dunia, hawa ndio wanacontrol KILA KITU KINACHOHESHIMIKA DUNIANI kuanzia viongozi wa kisiasa, viongozi wa kidini, wanamichezo na hata wanamuziki wanaoheshimika zaidi duniani.
Issue inayoendele hivi sasa kwa msanii mkubwa sana duniani Robert Kelly aka R.Kelly ni mfano tosha kabisa kwa wale ambao walikuwa na hofu na uwepo wa hawa watu lakini zaidi sana nguvu za hawa jamaa na influence yao.
Je nini kilisababisha R.Kelly kukutwa na yanayomkuta? Hilo nikipata muda nitaliandikia uzi wake lakini kwa leo ningependa tu kukuambia wewe usiyeamini uwepo wa hawa watu umuangalie R.Kelly.
Mtu ambae alifikia mahali akapewa mfalme wa R&B duniani, mtu ambae ana mashabiki mamilioni kwa mamilioni kote duniani, hivi tunavyoongea hakuna hata mtu mmoja duniani anayefurahia kusikia jina R.Kelly masikioni mwake. Nini kimetokea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawachelewi kupigwa hapa...ha ha
Mentality za kijamaa hizo mkuu.Kama kawaia ya watu maskini. Uisashakuwa tajiri. Wanakuhusisha na freemason.. sijui uchawi..
Hii mentality ya kimaskin sio nzuri kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app