Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
hello,
najua sasa ni usiku sana, wengi wenu mmechoka na mnaenda kupumzika sasa.
kiukweli kabisa nisingependa mkose amani ilhali mnapumzika, hivyo kwa kila anayekwenda kupumzika usiku huu nakutakia mapumziko ya amani, kwa lugha ya kigeni ni rest in peace.
RIP kwa Erickb52, Madame B, Bishanga, Mtambuzi, cacico, nitonye na wengine woote
najua sasa ni usiku sana, wengi wenu mmechoka na mnaenda kupumzika sasa.
kiukweli kabisa nisingependa mkose amani ilhali mnapumzika, hivyo kwa kila anayekwenda kupumzika usiku huu nakutakia mapumziko ya amani, kwa lugha ya kigeni ni rest in peace.
RIP kwa Erickb52, Madame B, Bishanga, Mtambuzi, cacico, nitonye na wengine woote
Last edited by a moderator: