Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
hii ndio multiple ya huyu bulaza ivuga..
Huyu sio SI....
Namfahamu kijana...ni mpole....mstaarabu....msikivu...ana Id moja.
hii ndio multiple ya huyu bulaza ivuga..
Kila msemo na pahala , wakati na eneo lake!
Kwenye mnuso wa harusi hewezi peleka condolence or tribute au sympathy !
Na ndivyo msibani huwezi peleka congratulation , happy birthday au recovery soon!
Mf. Ulio utoa hapa ni kama vile umwambie mwanamke akanyoe ndevu, ukimaanisha akanyoe mazivu! Kwani tumefikia kua muflisi wa maneno stahili in a particular events? Sitaki niamini hivyo.
Afu we Mchoyo wa kutoa :A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up: wewe,
Haya tu.
Ututue we @smilling saint,
Cha kutaka kufa ucngzini kitu gani?
Na ole wako nife usiku huu,Utantambua.
Ze same tu yuuu. Ulale pema peponi kamanda
Una maiwaif wewe? Si unaokoteza wake za watu wewe?
Mhe mbona kuhusu LIKE wengi tulishalitolea maelezo?
Inshort sie Mob. Users ili tutoe like twatakiwa tuingie kwenye Desktop kitu ambacho kinawezekana, eventhough tukiingia huko gharama ya uliwaji wetu wa mega bite unakua mkubwa kupita maelezo.
Ni hilo tu, na si vinginevyo.
hata mimi mbona natumia mobile? Ukiingia cku 1 1 kutoa sio mbaya.
utamvuta na yeye
Nahisi wewe ni kigagula cha mlingotini,juu ya nini unajifanya ziraili?
Wewe hata uki R.I.P. poa tu.
Niongee na nani?