CCM na polisi wake wamemuua huyu binti. Rip girl ulikuwa na ndoto nyingi Sana mbele yako. Mungu akurehemu. Na hapa ndio Taifa letu magufuli amelifikisha yote haya ni kwa akili ya kung'ang'ania madaraka. Tulizoea kuona haya mambo Rwanda, Burundi, Congo, Uganda . Sasa Kwetu. Inauma sana