R.I.P beautiful young gal

R.I.P binti yetu. Hukustahili kufa,hii ni kazi shetani. Atazikwa wapi,napenda nishiriki mazishi kama itawezekana
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Ni mwanafunzi wa NIT mwaka wa kwanza
Bachelor degree in procurement and logistics management
 
Japo ameshatangulia mbele ya haki ila kinachonishangaza kama siyo kunisikitisha tu ni kwamba mpaka sasa haijulikani anasoma Chuo gani na anaishi wapi isipokuwa kila mmoja anatiririka na anaserereka ajuavyo Yeye.
Alikuwa ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo cha National institute of transport ( NIT)


Alifariki akiwa kwenye daladala la kutokea mabibo kwenda makumbusho ili apeleke maombi ya field Bagamoyo
 
Ni mwanafunzi wa NIT mwaka wa kwanza
Bachelor degree in procurement and logistics management

Aliyeleta taarifa wa Kwanza kabisa kwa ' Kiherehere ' chake alituaminisha kabisa kwamba alikuwa ni Mwanafunzi wa UDSM na nina wasiwasi muda si mrefu kuna Watu watakuja na kusema ni Mwanafunzi wa TEOFILO Kisanji na wengine VETA Keko na hata wa KAM College.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…