jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,985
- 22,512
- Thread starter
- #21
R-chuga imejengwa zaidi sasahivi,lakini enzi hizo palikuwa safi zaidi,population siyo kubwa kihivyo.Kuna wakati kweli taifa letu lilipoteza mwelekeo.Haya maendeleo ya sasa yangekuwa safi zaidi kama tungejali mipango miji,kweli kungekuwa kama matoni kabisa.Inaonyesha walioishi zamani walikuwa na raha zaidi.BTW naona mama wa kizungu anatolewa baru na tembo lol!1962