Duuh!mzima mzima unakumbuka?Hiyo ilikuwepo pia hata miaka ya mwanzo ya 90.Kulikuwa raha bana!Si ndiyo chini ya safari hotel kulikuwa na CAVE DISCO?
Nakumbuka kwenda kumtembelea Marehemu dada yangu aliyekuwa kafikia hapo Safari hotel.
Walikuwa wakipiga Classic music na sikuweza kuona spika zake...... Nikawavulia kofia.
Ha ha ha!umenichekesha kweli,usafiri gani?Treni siyo?Lakini kweli barabara ya Dar Arusha ilikuwa mbaya hata miaka ya karibuni nadhani 90's,mabasi yalikuwa yakisafiri usiku tu.Bwana wee,
Ulikuweko kweli enzi hizo? Haki ya nani, umenkumbusha mbaaali sana. Dar kwenda Arusha wiki.
Maasai enzi hizo...Picha hizi ni kwa hisani ya tzaffairs.org,wana Arusha mnakumbuka?