Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
- Thread starter
- #21
Sasa kwanini waislam hukubali mapema kufanya uharifu huku wakijua wamedanganywa na watu wa western?Mti wenye matunda,ndio upigwao mawe.Makundi yote ya kihalifu,yanaanzishwa na nchi za magharibi,kwa kutumia mgongo wa uislamu,mbona hii imeshajulikana mda mrefu,au wewe ndio mpya mitandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app