Quote of today

Uwe unaweka na za uswazi, sitaki kuamini kwamba una kosa misemo hata kama ya kina Edward Molinge Sokoine, Mwl: Nyerere , Mkapa , Mawala , Lipumba , Beregu na watu wengine mashuhuri hapa kwetu..

"Tanzania ni Muungano wa visiwa vya Zanzibar na Zimbambwe" - Naibu waziri wa elimu, Philipo Mulugo.
 
ah ah! umeifanya alfajiri yangu kua njema. Unatupia hata misemo ya kina Freeman Mbowe, Zitto kabwe , Edward Lowasa na wengineo
"Tanzania ni Muungano wa visiwa vya Zanzibar na Zimbambwe" - Naibu waziri wa elimu, Philipo Mulugo.
 
mi hiyo lugha mwenzenu
siijui kabisa manoah nitafsirie basi!
 
Last edited by a moderator:
''Beauty is bought by the judgement of the eye not uttered by base sale of chapmen's tongues''.
----- William Shakespeare
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…