Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 759
- 1,280
Yakiwa yamebaki Masaa yasiyozidi therathini kwa Timu zetu za Kariakoo kurusha karata zao katika mashindano ya kimataifa, ghafla nazinduka usingizini baada ya kuyakumbuka maneno ya mzee mmoja mwenye busara aliyesema;
"SON, Football can kill you, A real death. Don't settle for less but lower your expectations"
Matarajio, Matarajio, Matarajio. Hayo matarajio makubwa uliyonayo. Je, yanaendana na ubora wa kikosi chako?
Hii ndiyo ile miezi ya Nongwa pale Jangwani. Why?, Tunaaminishwa tena na viongozi wetu kabisa, Yanga ni timu bora sana, like hakuna timu ya kuizuia. So kama mashabiki matarajio yetu yapo juu, Inafika wakati unawaza ubingwa kabisa. Mambo yakiwa tofauti ni disappointments na Vilio. Punguza matarajio wewe sio mkubwa kama unavyofikiri.
Hii ndiyo ile miezi ya manung'uniko pale msimbazi(Hawa jamaa hawana kelele sana kama wananchi). Naamini utakubaliana na mie, Simba linapokuja suala la kimataifa mentality yao ni kama Real Madrid, yaani ligi ya ndani anaweza kuwa wa kawaida ila kimataifa wana-spirit moja ya ajabu sana. Timu nyingi zina mengi ya kujifunza kutoka kwa Simba. Simba ikija kupata wachezaji bora, Nawaona fainali kabisa.
Sasa Simba yupo kwenye Kundi gumu sana maybe zaidi hata ya lile la Al-ahly na Vita. Raja si mwepesi hata kidogo(hata hapa kwa mkapa), Vipers atatupa pia mechi moja ngumu sana(Mark my words), Horoya si wepesi pia pale kwao. Nitakua mtu wa mwisho kuamini simba atapata 7+ points kwenye group lake. Punguza matarajio.
Ni vizuri ukawa positive kuhusu timu yako, pia kama shabiki unaweza tamba na timu yako ila ni vyema ukatengeza mazingira ya kuto-jidanganya(Jiambie ukweli). Otherwise, vile vilio vitarejea tena. Zile ngonjera za atuachie timu yetu....sijui hatumtaki huyu na yule tuzisikia sana.
Yaani Mnyama unafungwa na Raja unalia? Una-andamana? Wewe Mnyama wa wapi buana?
Mwanachiii. Punguza matarajio.
Nasema haya sababu najali. Tupunguze matarajio.
All in all, Kila lenye Kheri Mwananchi.
All the best, Mnyama.
"SON, Football can kill you, A real death. Don't settle for less but lower your expectations"
Matarajio, Matarajio, Matarajio. Hayo matarajio makubwa uliyonayo. Je, yanaendana na ubora wa kikosi chako?
Hii ndiyo ile miezi ya Nongwa pale Jangwani. Why?, Tunaaminishwa tena na viongozi wetu kabisa, Yanga ni timu bora sana, like hakuna timu ya kuizuia. So kama mashabiki matarajio yetu yapo juu, Inafika wakati unawaza ubingwa kabisa. Mambo yakiwa tofauti ni disappointments na Vilio. Punguza matarajio wewe sio mkubwa kama unavyofikiri.
Hii ndiyo ile miezi ya manung'uniko pale msimbazi(Hawa jamaa hawana kelele sana kama wananchi). Naamini utakubaliana na mie, Simba linapokuja suala la kimataifa mentality yao ni kama Real Madrid, yaani ligi ya ndani anaweza kuwa wa kawaida ila kimataifa wana-spirit moja ya ajabu sana. Timu nyingi zina mengi ya kujifunza kutoka kwa Simba. Simba ikija kupata wachezaji bora, Nawaona fainali kabisa.
Sasa Simba yupo kwenye Kundi gumu sana maybe zaidi hata ya lile la Al-ahly na Vita. Raja si mwepesi hata kidogo(hata hapa kwa mkapa), Vipers atatupa pia mechi moja ngumu sana(Mark my words), Horoya si wepesi pia pale kwao. Nitakua mtu wa mwisho kuamini simba atapata 7+ points kwenye group lake. Punguza matarajio.
Ni vizuri ukawa positive kuhusu timu yako, pia kama shabiki unaweza tamba na timu yako ila ni vyema ukatengeza mazingira ya kuto-jidanganya(Jiambie ukweli). Otherwise, vile vilio vitarejea tena. Zile ngonjera za atuachie timu yetu....sijui hatumtaki huyu na yule tuzisikia sana.
Yaani Mnyama unafungwa na Raja unalia? Una-andamana? Wewe Mnyama wa wapi buana?
Mwanachiii. Punguza matarajio.
Nasema haya sababu najali. Tupunguze matarajio.
All in all, Kila lenye Kheri Mwananchi.
All the best, Mnyama.