Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

How imperfect kwenye bed huyo mwenye perfect bank account? Ina uwezo wa kusimama na kuingia, au ni useless kabisa?
Vipi kuhusu cheating tuizingatie as an alternative au haipo?
 
Ukifatilia mada za hapa na swala la mahusiano utagundua wengi wanaangalia 6*6! Japo pengine inategemea ntu na ntu!

Eti Preta unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Pesa sabuni ya roho na moyo, na mwili wote kwa ujumla!!! Hapendwi mtu pichi lake tu. We lara 1 kakuambia nani siku hizi eti kuna mapenzi ya 6*6? Halafu kumbe tena hauko peke yako wako na wengine mtaa wa pili? Bora awe na hela nizifaidi!!!! Kuna kina mama fulani walikuwa wanapeana mchapo, mmoja alifurahisha sana pale aliposema ni bora kuolewa na mwenye nazo ili hata ufaidi hizo hela na yeye kama ana mambo yake nje kimtindo sawa kuliko kuolewa na asiyekuwa nazo wakati huko nje nako ana vimwana tena vya kufyonza hata kile kidogo alicho nacho na mwishowe mnaishi ufukara!! Kweli wanawake wanafikiria mbali!! Je kwa wanaume je? Tunapenda wanawake wenye nazo ambao watasaidia katika maendeleo home au ni yule wa kukupaisha tu kwa mahaba na kubaki kuwa goli akisubiri wasukuma kabumbu walete mpira golini?
 
How imperfect kwenye bed huyo mwenye perfect bank account? Ina uwezo wa kusimama na kuingia, au ni useless kabisa?
Vipi kuhusu cheating tuizingatie as an alternative au haipo?

kuna point hapa
 
mapenzi ya pesa hayadumu,nimekupenda na wewe umenipenda tukila kisamvu nakaza roho siku inaenda. warereeee wapenda pesa kazi kwenu .nyoka kutema sumu ndio mpango mzima

Haki ya nani hii falsafa ilishakufa siku nyingi!! Hivi hujashuhudia jinsi gani walioanza from 0 na wakifanikiwa tu wanaume wanaanza kuwa cobra!!! Anakutumulia vumbi unabaki kuona kisigino tu!! Na akibahatika kununua gari haki ya nani utapata mara chache kushinda mahawara!! Dada zangu huwa nawashauri kuwa na mtazamo wa maisha kwa kukubali hali zote za maisha kuwa unaweza ukajitoa sana katika maisha na ukaachwa na kesi nyingi tumeshuhudia!!
 
How imperfect kwenye bed huyo mwenye perfect bank account? Ina uwezo wa kusimama na kuingia, au ni useless kabisa?
Vipi kuhusu cheating tuizingatie as an alternative au haipo?
Umenena Kaunga, maana anaweza akawa fiti kunako akaunti, lakini zikaishia kwa Evelyn Salt kwa kuchiti. Na ukizingatia jinsi Evelyn Salt anavyopenda hela... we acha tu
 
Jamani mimi nawatizama kwa kijicho pembe tu wale mnaodai mambo ya Libolo Sports Club ndo mpango mzima! Shauri yenu! Mmesahau mambo ya kujibana nyumba za kupanga huku maza house mwanga, mambo ya TZ 11, mambo ya kula kwa mawazo, mambo ya kayumba, mambo ya harusi ukumbi wa kimra bucha, mambo ya kopakopa untd, mambo ya kuvunjiwa heshma na kudharauliwa na wadogo zako. Acheni tu! Hata penzi linakuwa gumu!

Na nyie mnaoshabikia Bank Account ndo inayoingia huko? Bank account ndo inakupa pleasures? Nakuulizeni nyie satisfaction inatoka kwenye balance sheet na kuingia mioyoni mwenu?????????

Mi bado napima uzani!
 
Jamani mimi nawatizama kwa kijicho pembe tu wale mnaodai mambo ya Libolo Sports Club ndo mpango mzima! Shauri yenu! Mmesahau mambo ya kujibana nyumba za kupanga huku maza house mwanga, mambo ya TZ 11, mambo ya kula kwa mawazo, mambo ya kayumba, mambo ya harusi ukumbi wa kimra bucha, mambo ya kopakopa untd, mambo ya kuvunjiwa heshma na kudharauliwa na wadogo zako. Acheni tu! Hata penzi linakuwa gumu!

Na nyie mnaoshabikia Bank Account ndo inayoingia huko? Bank account ndo inakupa pleasures? Nakuulizeni nyie satisfaction inatoka kwenye balance sheet na kuingia mioyoni mwenu?????????

Mi bado napima uzani!

Hujajibu swali la Prisoner 46664.
 
Last edited by a moderator:
najua mshituko umekupa heheheeh uko none of the above nini hahahhhaah?

Shemeji..nilitaka kuongea nikagundua niko thread isiyoniruhusu.
Ila we mwenyewe si unanifahamu? Do i nid say more??!:yo:
 
Jamani mimi nawatizama kwa kijicho pembe tu wale mnaodai mambo ya Libolo Sports Club ndo mpango mzima! Shauri yenu! Mmesahau mambo ya kujibana nyumba za kupanga huku maza house mwanga, mambo ya TZ 11, mambo ya kula kwa mawazo, mambo ya kayumba, mambo ya harusi ukumbi wa kimra bucha, mambo ya kopakopa untd, mambo ya kuvunjiwa heshma na kudharauliwa na wadogo zako. Acheni tu! Hata penzi linakuwa gumu!

Na nyie mnaoshabikia Bank Account ndo inayoingia huko? Bank account ndo inakupa pleasures? Nakuulizeni nyie satisfaction inatoka kwenye balance sheet na kuingia mioyoni mwenu?????????

Mi bado napima uzani!
Sasa mambo ya kuwa nayo yote hayo halafu unanuka GENYE mwili mzima si ni balaa?? Yaani mtu akikusalimia kwa kukupa mkono tu we HOI kwa kuguswa, na mwisho wa siku mna hela kibao hala ANAKUBANJUA SHAMBA BOY, COWBOY, MARA MFYATUA TOFALI KWENYE SITE YENU MPYA NAYE ANAJILIA MZIGO KAMA KAWA.... Hiyo si ndo aibu mara kadhaa..??
 
Haki ya nani hii falsafa ilishakufa siku nyingi!! Hivi hujashuhudia jinsi gani walioanza from 0 na wakifanikiwa tu wanaume wanaanza kuwa cobra!!! Anakutumulia vumbi unabaki kuona kisigino tu!! Na akibahatika kununua gari haki ya nani utapata mara chache kushinda mahawara!! Dada zangu huwa nawashauri kuwa na mtazamo wa maisha kwa kukubali hali zote za maisha kuwa unaweza ukajitoa sana katika maisha na ukaachwa na kesi nyingi tumeshuhudia!!

hakuna kitu kisichokuwa na hasara na faida ila kumbuka kwamba kwenye dibwi la umaskin uliotopea faraja kuu hupatikana katika mapenzi na sio pesa,kwangu mimi hayo uliyoyasema ni mapito au changamoto za mapenzi.
 
Back
Top Bottom