Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

Hujajibu swali la Prisoner 46664.

HAHAHAAAAAAAAA! Acha Majungu wewe! I cant say about the Boss coz im the wrongest person to ask bt i can tell you abt Prisoner 46664 RUMOUR IS HE IS LOUSY IN BOTH BED AND BANK ACCOUNT DEFINATELY! Hafai hata kwa mbolea! Dont ask me who i herd from!!!!!! WALLS HAVE EARS!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
IGWEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Ile assumption ya Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote iko kazini, una choice ya kuchagua mpenzi mmoja tu baaas kati ya mkareee wa mavituz kunako uwanja wa fundi seremala au Mkareee wa Investmen returns na liquidity a.k.a mutu ya pesa mingi kwa bank yake!!!!!!!!! All other things, sura, tabia, mcha Mungu, na mengineyo remains constant.

Je tusemage tu ukweli na maisha haya Utamchagua nani?????? Perfect in Bed VS Perfect in Bank Account

Mmmmhhhhhhhh! Mimi bado still loading kwa kweli!

Hayanihusu. Hii ni ya akina EVA, not ADAM
 
perfect in bed ,nitamvaa?nitamla?uperfect wake utasomesha watoto?utajenga nyumba ?maisha yatakwendaje ? Aishie nzeesha tu kha. Sijui niseme lugha gani lakini mimi napenda mwanaume aliye smart kichwani na mcha mungu hata kama hajui pakuiweka hiyo kitu ntamfuundisha aisee hizo pesa tutatafuta tu ,na huwa sishawishiki hata kidogo kumdandi mtu mwenye mapesa yake tayari,isijentoka puani all in all mapenzi bila pesa au any source of income hata kidogo tu yaani hata 500 kwa siku aisee ni machungu sana mtaishia kulaumiana weeee na hayo mapenzi ya kweli yakaisha ,nakiri pesa ni kila kitu itafutwe kwa njia halali na zinazoeleweka .
. Nakushukuru sana kwa hii comment....
 
HAHAHAAAAAAAAA! Acha Majungu wewe! I cant say about the Boss coz im the wrongest person to ask bt i can tell you abt Prisoner 46664 RUMOUR IS HE IS LOUSY IN BOTH BED AND BANK ACCOUNT DEFINATELY! Hafai hata kwa mbolea! Dont ask me who i herd from!!!!!! WALLS HAVE EARS!!!!!!!!

ha ha ha,,,,even though my primary school teacher tought me not to answer a question by avoiding it...i say fair enof!
 
perfect in bed ,nitamvaa?nitamla?uperfect wake utasomesha watoto?utajenga nyumba ?maisha yatakwendaje ? Aishie nzeesha tu kha. Sijui niseme lugha gani lakini mimi napenda mwanaume aliye smart kichwani na mcha mungu hata kama hajui pakuiweka hiyo kitu ntamfuundisha aisee hizo pesa tutatafuta tu ,na huwa sishawishiki hata kidogo kumdandi mtu mwenye mapesa yake tayari,isijentoka puani all in all mapenzi bila pesa au any source of income hata kidogo tu yaani hata 500 kwa siku aisee ni machungu sana mtaishia kulaumiana weeee na hayo mapenzi ya kweli yakaisha ,nakiri pesa ni kila kitu itafutwe kwa njia halali na zinazoeleweka .

Yaani Nivea,dear u made my day!Yes mwanaume awe smart upstairs,ajue kuitafuta hiyo pesa!
.....Na ikibidi nitasaidia kumshauri/kufikiria wht to do
.......Mambo ya kumkuta mtu na mipesa yake hujui kaitoa wapi,na ckuhizi mambo mengi,wengi yamewatokea puani!
......So better msaidiane ila awe na kazi pa kuanzia mwenzangu
 
Kwanza hiyo "assumption ya mungu" ndiyo nini?mungu yupi huyo ana assumption?
'
Nikija kwenye mada yako ni kwamba,tunadhani tupo kwenye ulimwengu usiokua na kanuni,yaani vile maisha unavyoyatengeneza wewe ndivyo yanavyokuwa
'
Huo ni ujinga,kila kitu kina kanuni yake,mahusiano kwa mfano ni kanuni ya binadamu kuendelea kuwepo,hakuna kitu ambacho kipokipo tu,ili uweze kufaidi mazuri ya mahusiano ni lazima ufuate kanuni zake
'
Haya mambo ya kutengeneza watu kwenye akili zetu yatatupeleka shimoni,leo unataka mwenye hela,kesho utataka mzuri kitandani,wiki ijayo utataka msomi,mtondo goo utataka handsome etc,etc
'
Utaishia wapi?Tatizo watu hatupendi kuwajibika,kiuhalisia mtu anazaliwa mtupu hajui kitu,hajasoma,hana hela n.k,unataka nani ampe yote hayo ili wewe uje ule starehe bila kufanya lolote?Kwanini usitate wako ukamsomesha ukamfundisha namna ya kufanya ngono,mkatafuta pesa pamoja?
'
Mnataka mpate ambao tayari wana yote,yaani mtafuniwe nyie mmeze,maisha ya wapi hayo?Halafu hakuna binadamu mwenye kila kitu,matokeo yake mabinti mmekua makahaba,kutokana na kutokuwepo na mwenye vyote mnakua na mabwana kibao,mwenye hela,mzuri kitandani,muuza sura n.k
'
Kwanza mi nashangaa sijui ni nini kitanifanya nikupe hela,mkataba wangu na wewe ni mahusiano hela zangu zinahusikaje?Labda nikupe kwa kutaka mimi au ni mke wangu full stop,hutaki unaenda!
'
Mabinti acheni uvivu,wajibikeni na mfuate kanuni za maumbile,mnadhani mtaheshimiwa kwa kuhongwa na kujiuza?
'
Na hao wanaowapa hela nao wajinga tu!
 
How imperfect kwenye bed huyo mwenye perfect bank account? Ina uwezo wa kusimama na kuingia, au ni useless kabisa?
Vipi kuhusu cheating tuizingatie as an alternative au haipo?

Wakati mwingine uzoefu unakusaidia kujiuliza maswalg ya msingi sana!
 
HAHAHAAAAAAAAA! Acha Majungu wewe! I cant say about the Boss coz im the wrongest person to ask bt i can tell you abt Prisoner 46664 RUMOUR IS HE IS LOUSY IN BOTH BED AND BANK ACCOUNT DEFINATELY! Hafai hata kwa mbolea! Dont ask me who i herd from!!!!!! WALLS HAVE EARS!!!!!!!!

Hujambo wewe ?
 
Mhhhhh....hapa nipige swaga tu, maana utafiti unaonesha kwamba asilimia 50 ya wanaume hawawezi kazi kitandani. Heee! tena yamekuja haya ya kwenye pochi? Mbona hata kwanza mahitaji yetu tu yanatushinda, sembuse mtu akuongezee hiyo sifa!

hahaha hapa umeniacha hoi kidogo
 
Jamani mimi nawatizama kwa kijicho pembe tu wale mnaodai mambo ya Libolo Sports Club ndo mpango mzima! Shauri yenu! Mmesahau mambo ya kujibana nyumba za kupanga huku maza house mwanga, mambo ya TZ 11, mambo ya kula kwa mawazo, mambo ya kayumba, mambo ya harusi ukumbi wa kimra bucha, mambo ya kopakopa untd, mambo ya kuvunjiwa heshma na kudharauliwa na wadogo zako. Acheni tu! Hata penzi linakuwa gumu!

Na nyie mnaoshabikia Bank Account ndo inayoingia huko? Bank account ndo inakupa pleasures? Nakuulizeni nyie satisfaction inatoka kwenye balance sheet na kuingia mioyoni mwenu?????????

Mi bado napima uzani!
lara 1 naona bado unapata kigugumizi..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom