Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

Question for the ladies... Bank A/C or Bed?

IGWEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Ile assumption ya Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote iko kazini, una choice ya kuchagua mpenzi mmoja tu baaas kati ya mkareee wa mavituz kunako uwanja wa fundi seremala au Mkareee wa Investmen returns na liquidity a.k.a mutu ya pesa mingi kwa bank yake!!!!!!!!! All other things, sura, tabia, mcha Mungu, na mengineyo remains constant.

Je tusemage tu ukweli na maisha haya Utamchagua nani?????? Perfect in Bed VS Perfect in Bank Account

Mmmmhhhhhhhh! Mimi bado still loading kwa kweli!
 
No "Network Device" Found.

Disconnected.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
perfect in bed ,nitamvaa?nitamla?uperfect wake utasomesha watoto?utajenga nyumba ?maisha yatakwendaje ? Aishie nzeesha tu kha. Sijui niseme lugha gani lakini mimi napenda mwanaume aliye smart kichwani na mcha mungu hata kama hajui pakuiweka hiyo kitu ntamfuundisha aisee hizo pesa tutatafuta tu ,na huwa sishawishiki hata kidogo kumdandi mtu mwenye mapesa yake tayari,isijentoka puani all in all mapenzi bila pesa au any source of income hata kidogo tu yaani hata 500 kwa siku aisee ni machungu sana mtaishia kulaumiana weeee na hayo mapenzi ya kweli yakaisha ,nakiri pesa ni kila kitu itafutwe kwa njia halali na zinazoeleweka .
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


Ile assumption ya Mungu hakupi vyote wala hakunyimi vyote iko kazini, una choice ya kuchagua mpenzi mmoja tu baaas kati ya mkareee wa mavituz kunako uwanja wa fundi seremala au Mkareee wa Investmen returns na liquidity a.k.a mutu ya pesa mingi kwa bank yake!!!!!!!!! All other things, sura, tabia, mcha Mungu, na mengineyo remains constant.

Je tusemage tu ukweli na maisha haya Utamchagua nani?????? Perfect in Bed VS Perfect in Bank Account

Mmmmhhhhhhhh! Mimi bado still loading kwa kweli!
i said this in a similar thread

awe na pesa. mnaweza kulipia subscription ya mwaka pale www.!@#$#$%$**&^%$#@!)($.com na ''kujifunza'' bed activities ha ha.
 
Huwaga wanajiuwaga kwa sababu za kimapenzi... wanojiuwaga kwa kukosaga pesa sijawahi sikiaga... MAVITUZI NDO MPANGO MZIMA, YAANI FULL MASARAKASI, FULL MAULEMAVU, FULL MA-SUBWOOFER, WE ACHA TUUU...
 
Habari shemeji
Cc KakaKiiza!
perfect in bed ,nitamvaa?nitamla?uperfect wake utasomesha watoto?utajenga nyumba ?maisha yatakwendaje ? Aishie nzeesha tu kha. Sijui niseme lugha gani lakini mimi napenda mwanaume aliye smart kichwani na mcha mungu hata kama hajui pakuiweka hiyo kitu ntamfuundisha aisee hizo pesa tutatafuta tu ,na huwa sishawishiki hata kidogo kumdandi mtu mwenye mapesa yake tayari,isijentoka puani all in all mapenzi bila pesa au any source of income hata kidogo tu yaani hata 500 kwa siku aisee ni machungu sana mtaishia kulaumiana weeee na hayo mapenzi ya kweli yakaisha ,nakiri pesa ni kila kitu itafutwe kwa njia halali na zinazoeleweka .
 
Last edited by a moderator:
perfect
in bed ,nitamvaa?nitamla?uperfect wake utasomesha watoto?utajenga
nyumba ?maisha yatakwendaje ? Aishie nzeesha tu kha. Sijui niseme lugha
gani lakini mimi napenda mwanaume aliye smart kichwani na mcha mungu
hata kama hajui pakuiweka hiyo kitu ntamfuundisha aisee hizo pesa
tutatafuta tu ,na huwa sishawishiki hata kidogo kumdandi mtu mwenye
mapesa yake tayari,isijentoka puani all in all mapenzi bila pesa au any
source of income hata kidogo tu yaani hata 500 kwa siku aisee ni
machungu sana mtaishia kulaumiana weeee na hayo mapenzi ya kweli
yakaisha ,nakiri pesa ni kila kitu itafutwe kwa njia halali na
zinazoeleweka .

Me Love this.
 
mapenzi ya pesa hayadumu,nimekupenda na wewe umenipenda tukila kisamvu nakaza roho siku inaenda. warereeee wapenda pesa kazi kwenu .nyoka kutema sumu ndio mpango mzima
 
Back
Top Bottom