Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 471
Huyo docta na chengaa tuu ana lolote hana tofaut na jaji elibariki wtee walewalee
hahahah ujue kweliDr Marcelo sawa na Jaji Elibariki!
Mmh hii story haitabiriki mkuu huyo Dr macelo mwenyewe haeleweki inawezekana akawa bonge la ngedere huyu
Hii story mpaka imefika season 4 watu hawajajipa uhusika tu?
Hata wa kujiita Austin hayupo
Mmoja ajitolee hata awe Dr Marcelo tu basi inatosha
Boya kweli yanHuyo docta na chengaa tuu ana lolote hana tofaut na jaji elibariki wtee walewalee
Kumbuka kuna kioo sebuleni kwaiyo mchezo wote walikuwa wanauona hivyo sidhani kama ni kikwazoSikutegemea kama kamanda Austin atakutana na kikwazo mapema hivi
Watu kama hawa lazima wawepo ili movie inogeHuyo docta na chengaa tuu ana lolote hana tofaut na jaji elibariki wtee walewalee
Mie WinnieHii story mpaka imefika season 4 watu hawajajipa uhusika tu?
Hata wa kujiita Austin hayupo
Mmoja ajitolee hata awe Dr Marcelo tu basi inatosha
Ha ha ha ha unawish eeeh co kwa utawala huu wa anko magu kifedha hata daniel umpati mjingaMie Pedesheeeeh Zumo
Mkali wao Austin January hapaHii story mpaka imefika season 4 watu hawajajipa uhusika tu?
Hata wa kujiita Austin hayupo
Mmoja ajitolee hata awe Dr Marcelo tu basi inatosha