QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Ungekuwa nchi za wenzetu ukauza script yako Kama hivi Wewe millionaire Sasa hivi..
Una kipaji mkuu..
..Keep it up bro!
 
Lege.....shukrani sana kiongozi,ila kama season 4 ipo,fanya mpango uimwage.maaana hii inanoga mnooo
 
Hii story mpaka imefika season 4 watu hawajajipa uhusika tu?

Hata wa kujiita Austin hayupo


Mmoja ajitolee hata awe Dr Marcelo tu basi inatosha
 
Hii story mpaka imefika season 4 watu hawajajipa uhusika tu?

Hata wa kujiita Austin hayupo


Mmoja ajitolee hata awe Dr Marcelo tu basi inatosha
Mmh hii story haitabiriki mkuu huyo Dr macelo mwenyewe haeleweki inawezekana akawa bonge la ngedere huyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom