Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
- Thread starter
- #21
Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawishaWajua nakupendaaa ila unaniadaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawishaWajua nakupendaaa ila unaniadaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Kachoka kushareZari hajamwazima
hivi unasema "unaniadaa" au "unaniandaa"?Wajua nakupendaaa ila unaniadaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
"...wako walo washamba,wako walo wajanja,wainaoingia klabu kugombanisha wapenzi,Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawisha![]()
![]()
Af wewe!!!.....na avatar ya bebi wako unatuchanganya!!!Queen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.
Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period
Mmm ila akikupa hukataiHahaah kati ya wanawake wakikaa nusu uchi hawawezi nipa hamu na yeye ni mojawapo
Bora hata unipe wewe naweza kutoa gundu ila huyo atanisababishia ZIKA bureMmm ila akikupa hukatai
Hahahaaaaa niwie radhi mkuu,ila utazoea tu.Af wewe!!!.....na avatar ya bebi wako unatuchanganya!!!

Queen darlin na kiba nani mkongwe kwenye gameHuyu bidada Kiba alimbeba sana katika unanihanda, baada ya hapo akaachiwa atembee mwenyewe lakini hakuweza. Tusubiri tuone kama braza ake ataweza kumuinua