Queen Darleen buana..

Queen Darleen buana..

Wajua nakupendaaa ila unaniadaaa
[emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji443] [emoji442] [emoji442] [emoji442] [emoji443] [emoji443] [emoji444] [emoji443] [emoji443]
Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawisha[emoji443] [emoji444]
 
564ee2f8442f07701e35fec31ddd6bdf.jpg


Katika ubora wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Uuuuuwiii ni nini hiki [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wajua nakupendaaa ila unaniadaaa
[emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji441] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji443] [emoji442] [emoji442] [emoji442] [emoji443] [emoji443] [emoji444] [emoji443] [emoji443]
hivi unasema "unaniadaa" au "unaniandaa"?
 
Wajua ukinishika tetemesha roho unairusha pagawisha[emoji443] [emoji444]
"...wako walo washamba,wako walo wajanja,wainaoingia klabu kugombanisha wapenzi,
ukipata kipya,cha zamani usasisahau,.."
naupenda huu wimbo sana!
 
Queen Darleen kazidi kukaa uchi jamani!
Nguo zake zote ni mapaja njenje,hata katika press za maana anaenda hivyo hivyo.
Queen ni mkubwa sana,kaanza kuimba muziki wakati sisi wadogo zake tuko primary huko...ni vyema akabadilika.

Ni maoni tu maana mwisho wa siku maisha ni kuchagua,naye ndio maisha aliyojichagulia.
Period
Af wewe!!!.....na avatar ya bebi wako unatuchanganya!!!
 
Huyu bidada Kiba alimbeba sana katika unanihanda, baada ya hapo akaachiwa atembee mwenyewe lakini hakuweza. Tusubiri tuone kama braza ake ataweza kumuinua
 
Huyu bidada Kiba alimbeba sana katika unanihanda, baada ya hapo akaachiwa atembee mwenyewe lakini hakuweza. Tusubiri tuone kama braza ake ataweza kumuinua
Queen darlin na kiba nani mkongwe kwenye game
 
Back
Top Bottom