TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,912
- 11,308
Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
Mkuu nakuunga mkono mia kwa mia!!! yaani anachkua pesa za wastaafu na marehemu, anazipamba kwa vioo halafu anataka twende ndani yake kununua vyetu kumuongezea pesa zaidi ya alizotuibia!!!??? Gademu!!
Tatizo ni utekelezaji maana yeye hata tukisusa atakula kodi japo kwa muda.. Yusuph ameharibu sana jina la Quality Group
Uzuri ni kwamba hata hiyo complez yenyewe iko kushoto na purchaisng power ya Dar to a significant extent